N
ingeenda duka la dawa asili pia mngesema niende hospital, Sasa nimeenda hospital mnasema pia eti niende aga Khan, ningeenda huko mngesema bongo jau niende india
Kwani nimepewa dawa online mbona unaleta dharau Mzee unaniita Dogo unanijua.
Kwahiyo ukienda agha Khan ndiyo Kuna tiba tu za uhakika ila hospital zingine hakuna tiba za uhakika
Dr amenipa hiyo baada ya kumwambia mwili unawasha kama vipele hivi. Kwenye kichwa chamboo Kuna vipele/vidonda viwili japo haviumi ila hajasema hiyo lotion nipake hapo
Wakuu habari zenu.
Leo nimeenda hospital kufanya vipimo baada ya kuichapa usiku kuchat Tena kavu kavu siku mbili mfululizo,
Nilijua ni uhakika nitakuwa na Kaswende, lakini majibu yamesema hapana.
Au vipimo vinaweza kusema uongo?
Na vipi mbona mwili unawasha Sana na pia kwenye kichwa Cha uboo...
Dalili nilizoona ni hizi, kwanza mwili ulianza kuwasha na vipele Kwa mbaaaaaali.
Baadae vipele kama viwili hivi kwenyemboo, maeneo ya kichwa chamboo.
Vipele hivyo au vidonda hivyo kwenye mboo haviumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.