Nyie musitoe hukuma mama wa kwanza ndoa ina siri nyingi au munataka aje amwage upupu humu ,we ninani umuhukumuyo nduguyo ? Pia huyo mpya kakuta hela kipimo angekuwa kipindikile huyo anaachwa huyo akawa naye ,she would run away . Delila naye angekimbia tu
Achenickuhukumu pia bado mkewe ana watoto...
Hajawahi kuwa waziri hivo hakuna alilofanya baya hawa wanao mutishia wanataka kumunyamazisha but wamechelewa hayupo nchini ana relax yuko nje nyie mutanjinyonga bure wacha aseme puma na Mchele wenye akili watajua
Natabiri kuwa kuanzia muda wa kampeni katikati hawa chauma wataanza kupigwa mawe na wananchi wakiwa kwenye kampeni moderator weka uzi huu ukaishi mutasema nimeonyeshwa na Muumba nimeona mawe yakipigwa kwenye kampeni hususa ni vijana wadogo Ngenz walio chukizwa na wasaliti
Taifa kwanza wakae waongee hii ya kuviziana haina maana busara itumike ni sawa na mkeo ukimwacha huku anajua siri zako zote huenda ulikuwa na mchawi unamushirikisha atasema mbwai na iwe mbwai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.