Nenda hospital,, acha kuvaa nguo mbichi hasa za ndani,, Anika nje kwenye jua unapozifua,, ukimaliza kuoga jikaushe na taulo ndio uvae nguo,, epuka kupaka maloshen hizo sehemu,, tumia Kondomu,, acha kunyonywa rununu yko
Anajiroga mwenyewe ,, kwa tamaa ,, anaminya mafao ya wastaafu ambayo ni jasho na damu halali la watanzania,, utasema Kuna mtu anamroga.. mie hata baya likimpata ni sawa tu
uko sahihi ila wengine atunywi pombe wa la kuvuta misigara wal kwenda ma club ,, tunaishije bila kujifurahisha,, anyway asante kwa kutujali hasa kujikinga ilo nitazingatia sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.