Recent content by chanongo

  1. C

    Asali mbichi

    Asali mbichi halisi Inapatikana kwa tsh 10000 Kwa lita moja Asali toka ugalla wilaya ya urambo karibuni maeneo kunduchi mtongani DSM Mawasiliano 0754249732 au 0659796318
  2. C

    Wauswazi wenzangu, mnakumbuka matani? Twende, twendee, twendeee

    ugoko kama delly la ice cream twende......twende tumbo kubwa kushiba kwa jiran twende twende
  3. C

    Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    hii mishahara imezidi bna unalipia ada kubwa unalipwa kidogo tutafika kweli????
  4. C

    Ajira za Kilimo, Mifugo na Uvuvi

    tusubr karibu yanatoka tuko wote :A S 13:
  5. C

    Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

    serikali moja:smile-big:
  6. C

    Hata kwa shs. 4000 kwa siku ntafanya kazi.Naomba msaada.

    we zd kujaribu kila sehemu ilipo bahat yako utafanikiwa usikate tamaa
  7. C

    TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

    polen sana tumwombee mwenyez mungu ailaze roho yake mahala pema pepon Amin
  8. C

    Siombi kazi tena....Mnfyuuuuusssss!!!!

    Huyu ndugu n ugumu wa maisha umemfanya akurupuke kufanya maamuz sawa n mpango madhubuti lakini inabdi pia upate manufaa kwaukifanyacho kwa mtaji huo mara nauli kulala cdhan
  9. C

    nafasi za kazi access bank leo 15 october

    hii mijamaa n nouma yani leo naambiwa mnakusanya ma cv nini nikajua tayar wamesha peana vyeo
  10. C

    nafasi za kazi access bank leo 15 october

    Nilisha weka barua kwenye bahasha lakin kwaunyonyaji huo nasepa kiedeni edeni yani slowly naenda kuichoma moto kabisa mwenyewe......
Back
Top Bottom