Recent content by Chanika2

  1. C

    Utawala wa Rais Magufuli ni kiboko, bado wiki mbili mwaka wa fedha kuisha, mwendo ni uleule

    Kalafu wew Mungu akulaani au maana unamuombea mtu baraka Hadi unajisahau hii ni Harar sana
  2. C

    GE2020 Unaweza usiaminiI CHADEMA kusumbua sana uchaguzi mkuu 2020 kuibuka kidedea

    Ajabu ni kwamba wewe unayo Kura moja tu Sasa sijuwi kama itatosha kumpa ushindi huyo kiongozi wako maana mtazamo wako na wa mwengine hauwezi kuwa sawa hata siku moja
  3. C

    Video: Msomi Mwakyembe ajifukiza majani ambayo hayajathibitishwa na yeyote kutibu chochote

    Tupa na simu tuone kama unatukuza kweli Mila kiafrika kama sio mwongo
  4. C

    Ufanisi wa Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Ndungulile jimboni kwake wazua maswali. Hafai tena kuiwakilisha CCM 2020

    Hapa ndo utamu WA siasa hata huku kwetu chanika mbunge wetu katukimbia kaenda kutangaza Nia kwengine na huku kazi aliyopewa na wapiga kurawake hata robo hakufi
  5. C

    Igizo la lockdown: CHADEMA inacheza kamari

    We kura yako ni moja tu so haitishi hata kidogo labda mngekuwa kama laki mbili hivi angalau
  6. C

    RC Makonda: Idadi ya maambukizi imepungua Dar, kuna watu walinunua majeneza na kupiga picha ili kuzua taharuki

    Hizi ni akili za CCM toka kitambo rejeaiile ya subwoofer ndogo pale mbey walivyoigiza kwamba wanaenda kuzika chadema mbeya mjini so hatahizi nazo hamshindwi kufanya manake mzoea hujengatabia mmstukiwa
  7. C

    Hali si shwari, baadhi ya Wajumbe wa kamati kuu Chadema hawakuafiki Wabunge kufukuzwa, kamati kuu imekorogoka

    Halafu huyu Mzee wa bia ameweka bandiki na comments zote zake naona wanazengo wamempuuzilia mbali
  8. C

    Je, kuna uhusiano wa mtu kufungulia mziki mkubwa wa sabufa na uelewa au kipato chake?

    Kwa mara ya Kwanza Leo NAMI nichangie japo kidogo hii mada maana kunajirani yangu moja zamani kabla sijaweka umeme yeye ndo alikuwa anaamua Mimi nilale saa ngapi na niamke saa ngapi maana ilikuwani kelele Hadi nikamripoti Kwa mjumbe lakini tabia take haikukoma nivyoomba barua kwenda ngazi ya ya...
Back
Top Bottom