Mi naona kama vile bei yako ni fare ukizingatia zile gharama kubwa kubwa zinazochajiwa na hawa walimu wetu wa ujasiriamali. Naweza tembelea nione mradi wako wa kutengeneza mkaa wa kisasa? maana hapo juu umesema unatengeneza mkaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.