serikali Ina haja ya kuangalia vizuri muswada walioupeleka bungeni hasa kwenye matumizi ya kodi katika kulipia bima Lengwa ya Bima kwa wote.
Hii bima imengalia uwezo wa familia duni hasa vijana ambao bado hawajajipata kiuchumi itakuwa ngumu kwa upande wa pili serikali iangalie uboreshwaji wa...
Bado Kuna hitajika nguvu kubwa ya mabadiliko. Vijana ndio sisi ambao Kwa hiyo miaka 50 ijayo tutakuwepo/ hatutakuwepo kushuhudia vitukuu vyetu vikiteseka na mfumo mbovu wa Elimu.
Nianze kwa kusema naipongeza serikali kwa juhudi kubwa iliyoiweka katika utengenezaji was miundombinu mizuri hasa madarasa pamoja na kuweka mikopo Kwa wanafunzi wa Elimu ya juu.
Swali linabaki Moja je, uwekezaji huu wa serikali kwenye Elimu utawezesha vijana kuwa na fikra chanya juu ya...
Nimetafakari sana juu ya hali ya wafanyakazi wanaofanya kazi katika kampuni na mashirika mengi yanayoendeshwa na Wahindi na kugundua kuwa kuna vitu havipo sawa, hasa kwenye ngazi za kiutendaji.
Kuanzia kariakoo mpaka sehemu nyingine nchini asilimia kubwa ya wafanyakazi huwa hawapewi mikataba...
Kipi kifanyike na mabadiliko yaanzie wapi..?
1. Serikalini Kwa maana ya mfumo na uendeshaji wa elimu nchini..
2. Wazazi na mitizamo ya kizamani juu ya elimu na faida ya kusoma bila kuwa na msukumo kutoka kwenye mitizamo ya wazazi..
Inafahamika kwamba wazazi hasa wa Kiafrika huwa na mitazamo juu ya maisha ya watoto wao kuanzia elimu mpaka makuzi ya watoto wao ndio hutoa taswira ya maisha ya mtoto.
Lakini kwa upande mwingine wazazi wengi wa Kiafrika hasa waliyokulia kwenye nyakati za ukimaliza shule utapata kazi, hawaamini...
Leo nimetembelea hospital ya Mwananyama na kukuta foleni kubwa ya wagonjwa wakusubiri Madaktari.
Kadhaa hii imekuwa ikitokea mara Kwa mara katika hospital hii. Swali ni kuwa ni kwel Kuna uhaba wa madaktari?
Bado kuna upendeleo katika utoaji wa huduma katika hospital hii?
Nini nikasome baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari..?
Inawezekana likawa swali ambalo linajirudia mara kwa mara kutoka kwa ndugu, marafiki hata wazazi wakitafuta kitu Bora Cha kusoma baada ya kuhitimu elimu ya sekondari.
Kukosekana kwa elimu sahihi au kukosa muongozo mzuri wa kitu Cha...
Utangulizi.
Zaidi ya miaka 50 Tanzania imekuwa ikipiga hatua katika kuhakikisha wananchi wake wanapata elimu iliyo Bora.Baada ya Tanganyika kupata Uhuru mwaka 1961 serikali ilianza kutengeneza mazingira ya kuwasaidia wananchi kutokomeza changamoto kuu tatu zilizokuwa zinalikabili TAIFA ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.