Hizo picha zilipigwa kwa madhumuni ya kumtisha mlalamikaji kama akisumbua kuwamalizia pesa waliokubaliana waanike hadharani kumtengenezea kashfa ya kulawitiwa......
Yaani kaka hii kesi haieleweki inaonekana jamaa walipanga njama ya kujipatia pesa na mlalamikaji nae akapanga njama Kwa mtindo mwingine ila huyu askari atavuliwa gwanda bila shaka......kupeleka mahakamani inakuwa kizungumkuti
Kwanza huyo Polisi hakai Kawajende ila anakaa Kawajense. Halafu Polisi alishirikishwa yeye hakuwa mhusika mkuu na wahusika wakuu yaani aliyedai kulawitiwa na aliedaiwa kulawiti si wafanyabiashara ila wote ni mafundi wa band saw (yaani machine za kuchania mbao pale) katika kiwanda cha...
Kuna taarifa ilitolewa na mwanajamvi kuwa ofisi za ACT katavi zimefungwa sababu ya ikosekanaji wa kodi ya pango......hizi taarifa hazina ukweli wowote baada kupata ithibati yenye uhalisia toka kwa Katibu mwenezi wa chama hicho bwana Godfrey Kapufi.....kapufi amedai kuwa ofisi za ACT zimehamishwa...
Act katavi haijafunga ofisi ila imehamisha ofisi zake......baada ya kuhojiwa viongozi Wa ACT katavi wamedai pale ofisi zilipokuwa ni jirani sana na ofisi ya chadema.......wameamua kuhama na kupanga maeneo ya mji wa zamani nyumba ambayo alikuwa anakaa Katibu mwenezi wa chadema........madai ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.