Recent content by chandira

  1. C

    Lawrence Mafuru amekera sana leo kuchanganya lugha wakati akihutubia

    Nomba kusema kwa mara yakwanza namfaham kwa kiasi fulani kwani alishawahi kuwa boss wetu wakati huo mfupi nikiwa NBC Bank sio mzuri kiivo yani ninachokiona ni network jamani anajua kidogo kuhusu finance nandio alikuwa kwenye kitengo cha hazina, ila nilishambamba siku moja akidesa kwa jamaa mmoja...
  2. C

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Hahahaaaa duh hapo ndio utajua kuwa watu wanamahaba wahaangali uhalisia na wakati katka kupima mambo yani leo hii jpm kawa zaidi ya nyerere?, umesahau nyerere aliwabana watu hatakutoka ktk kijiji tu harusiwi? aaah mbona unalia lia tu na mahaba
  3. C

    Baniani mbaya, kiatu chake dawa: Wa kushukuriwa ni Lowassa

    yabidi kuelewa pia kuna watu wapo kwaajili yakujua nani anajua zaidia yake yani kama chki n balansi ndio maana unakuta mtu anauliza kitu najibu lipo hapo hapo,
  4. C

    Watalaam Waongezeka kila wiki Tz

    Heshima kwenu wanajf, tumshukuru mungu wote kwakuwa wazima japo wengine wapo hai ila wanaumwa wangine mida michache pengine hatutakuwa nao, I nashangaza kila kukicha watalaam wanaongezeka namaanisha si wataalam wa fizikia au jeografikia hapana hawa ni wataalam wauchambuzi wamambo yaani toka...
  5. C

    Kweli biashara ushindani, angalia mabasi mapya ya Shabiby

    vip kuhusu dar mwanza hakuna zilizopoa kama hizo au ndio scania na youtong tu
  6. C

    Makamba na muhungo wapewa tuzo ya uongo

    Hii ni kali katika kile kinachodhaniwa kuwa ni mfano bora kwa wanasiasa wa Tanzania kuwapa tuzo ili kuongeza ufanisi basi hili siihivyo bali nimegundulika kuwa ni jambo la kuundwa tu tena fasta fasta kama vijana wa mjini wasemavyo, chanzo cha habari hii kime thibitisha kuwa tuzo waliopewa MH...
  7. C

    Mitsubishi double cab pickup inauzwa bei chee

    Cheki PM boss, nipo dar na engine ipo dar.
  8. C

    Mitsubishi double cab pickup inauzwa bei chee

    Dah, gari nzuri sana, mi nauza engine kama hiyo atakayenunua gari anipm nimuuzie spare kabisa, ilala wana bei hatari. Japo mitsubishi huwa haziharibiki hovyo kama unafanya service ya uhakika lakini kujiandaa muhimu.
  9. C

    Nauza engine ya Pajero 4D56

    Engine imefunguliwa kwenye gari nzima inayotembea. Kwakuwa ni model ya umeme, crankshaft sensor na vgt valve hazipatikani. Kila kitu kingine kizima. Spare zote zilizobaki zinaingiliana na 4D56 ya kawaida. Bei ni 1,500,000 Engine ipo jeti lumo- Dar Es Salaam Kama unahitaji spare yoyote ktk engine...
  10. C

    Nyumba inapangishwa ipo Kigamboni Mikwambe Dar es Salaam

    Tani elfu 30 au kilo elfu 30?? Tani elfu 30 si nyanya za iringa nzima?
  11. C

    Nyumba inapangishwa ipo Kigamboni Mikwambe Dar es Salaam

    Mkuu ukiishi kwa chuki na watu namna hii hufiki popote. Hapa Inatangazwa nyumba ya kupanga wewe unaleta personal attacks. Kwanini usingeanzisha uzi wako na kusema unayotaka. Huoni kama una deter prospective wateja. By the way mimi pia nimeshaenda kwa jamaa. Ni mtu smart sana na hana chembe hata...
Back
Top Bottom