Recent content by Chandima

  1. C

    Confession: Ilikuwaje ukatembea na mke/mme wa mtu?

    Tupambane na shetani kwa bidii
  2. C

    Angalia mlinzi wa Prof. Lipumba alivoingia ukumbini

    Ngoma inapolia saana ikaribu kupasuka. Lipumba alinyanyuliwa na watu, na sasa mwenyewe ananichimbia shimo. Watu hawawezi kuwa wajinga milele
  3. C

    Hashim Rungwe ndani ya dakika 45 ITV sasa.

    Hatakua na jipya kwani ushiriki wake hauna Athari
  4. C

    Aliyetoa maoni "Acha Wafe" kwenye habari ya kuuawa askari 8 atiwa mbaroni Mbeya

    Yote ni matatizo tu vipi mabwe pande?
  5. C

    Natangaza kuiunga mkono CHADEMA katika maisha yangu yote yaliyosalia hapa duniani, Mungu nisaidie

    Mungu akupe moyo usio yumba kwan upo sahihi kabisa.
  6. C

    Siasa hakuna mpaka 2020 lakini haya ni mapokezi ya Kikwete Chalinze leo

    Basi haya bila kutafunamaneno, police inapokea maelekezo toka kwa Rais, ambae ss ni mwenyekiti wa CCM, na hii ni hatari kwenye mustakabali wa maisha na mfumo wa vyamavingi.
  7. C

    Jiji la Dar linabadilika, Hongera RC, Mameya, DC na Madiwani

    Mabadiliko ya wapinzani have.
  8. C

    Serikali ya Rais Magufuli inavyosifiwa mitaani, hakika Upinzani utakuwa na wakati mgumu

    Endeleen kujikomba CCM na Magufuli maana badonafasi za Ukurugenzi. Kibano cha maisha hakina uccm wala upinzan.
  9. C

    Magufuli atafia ufisadi, mimi nitafia demokrasia

    Naamini kwamba wanaombeza Zito wanathubutu kuwafanya Watanzania Mazumbukuku kwa masilahi yao na mabwanazao. Ila ukweli wanauona. Nawanasihi kwamba wasijelalama siku CCM itakapopigwa chini, kwan mwisho wa dhuluma haukombali. Hataujinganao unamwisho. Zito amejaribu kuwekawazi wenye akili wameelewa.
  10. C

    Zitto Kabwe awasili Polisi Dar kuhojiwa, aachiwa Kwa dhamana

    Hii maanayake sheriaya vyamavingi vya sisa imefutwalini?
Back
Top Bottom