Wakuu salaam.
Naomba msaada wa kinachoendelea kibamba.
Nani alipaswa kuchukua form na nani amechukua form na what is the way forward?
Jimbo lishaenda kwenye chama chakavu?
Jambo hili la kuvunjwa msikiti nila kushangazwa sana.
Na kuwahamisha walimu tena wale walio katika kamati ya ujenzi ambao kimsingi ndio walezi wakuu wa waislamu katika chuo hicho ni ajabu nyingine kubwa sana.
kwa wale msiojua jambo hili lilivyo naomba niwajuze kwa ufupi.
chuo kikuu cha Dodoma...
KAMA KUNA WATU MNAFIKIRI KUWA UISLAMU UTATEWA NA WANASIAS ACHENI MAWAZO HAYO.
WANASIASA WANAOCHAGULIWA HASA AKIWA MUISLAMU ATAJITAHIDI KUMRIDHISHA BOSI WAKE NA SISI KUUSIMAMIA UISLAM.
HAINISUMBUI AKILI SO FAR HATA AKIWA MUISLAM HAENDI KUTETETA QURUAN WALA SUNA ZA MTUME WETU MTUKUFU.
KUNA WAZIRI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.