Recent content by ChaMkongo

  1. ChaMkongo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Shukran sana mkuu Mungu azidi kukubariki,, asante sana kwa ufafanuzi
  2. ChaMkongo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Kati ya Android TV na Smart TV boss
  3. ChaMkongo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Samahan boss naomba kujua na ubora kati ya hizi aina za TV,, ipi ni bora zaidi
  4. ChaMkongo

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Jaman mwenye kujua utofauti kati ya Smart TV na Android TV naomba anisaidie
  5. ChaMkongo

    Tanzania yashushwa rating ya uchumi wa kati, yadaiwa uchumi wake sio halisi na ukwasi wake hautabiriki hasa katika kupata mikopo ya nje

    Kwa kuwa hatukopi pesa zao na wala hatuombi misaada yao na wanaona nchi inazidi kujiimarisha kimiundo mbinu kwa pesa zake wao wanaona wanaweweseka
  6. ChaMkongo

    Kwanini sio rahisi kukuta January Makamba akiwananga Wapinzani?

    Anawaheshimu sana wapinzani na anawachkulia kama watu ambao watamletea changamoto za kisiasa ambazo zitazidi kumjenga na kumkomaza kisiasa
  7. ChaMkongo

    Ulihisi kitu gani baada ya kukubaliwa na girl/boy uliyekuwa unamfukuzia kwa muda mrefu sana?

    Habar ya swaumu wakulungwa Baada ya salamu naomba tujuzane ulikuwa ukihisi nini au kufikiria nini baada ya kukubaliwa kwa mara ya kwanza na mwanamke au mwanaume uliyekuwa unamfukuzia siku nyingi sana Pcha haihusiani na topic Sent using Jamii Forums mobile app
  8. ChaMkongo

    Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

    Sasa kama mavituzi hanipi!! Amekuwa gogo au tofali af kamchepuko kana vitu balaa kwa nn nisiende kwa kamchepuko nikale vitu vizur mana ata uwanjan mchezaji akichoka anaekwa pemben mwingine anachkua nafas yake Sent using Jamii Forums mobile app
  9. ChaMkongo

    Ukweli kuhusu ugaidi

    Wanaopinga ugaidi ndio hao hao wanaoutengeneza ugaidi ili tu kusambaratisha kitu kinachowakwamisha ktk mambo yao kwa faida yao. Na maeneo mengi yenye upinzani mkubwa na mabeberu wa magharibi yana rasilimali,, sasa ili mabeberu wapate izo rasilimali ndo wanakuja na propaganda ya ugaidi ili...
  10. ChaMkongo

    Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

    Dada iyo ni zaidi ya kitchen part Wanaleta mazoea kwenye ndoa hao sasa dawa kuchepuka tu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom