Recent content by Chamkae

  1. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Naomba kuuliza kwa ambaye anafahamu au anajua kuhusiana na wawekezaji

    Naomba kuuliza kwa anayefahamu kuhusina na wale Wawekezaji ambao incase unaplot mahali wanakuja kujenga kama apartment. Au office kwaanae jua anisaidie plz coz tuna eneo lipo town maeneo ya Ilala Bungoni.
  2. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Gender;male Professional;autoelectrical and diagnosis machine ,basic driver,bartending Education;all certificate Location:dsm
  3. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Ajira za nje ya nchi

    Jamni naomba kujua maagent Bongo wanaohusika na ajira za nje ambazo zinaviza sponsorship £skilled labour na unskilled labour eg vegetable picker, auto technitian, driver, hotel, casino.
  4. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Anaejua ambao wanahusika na mambo ya barabarani ukiegesha gari vibaya, Yono/TRA kipengele

    Mambo nikama hivi Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
  5. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Mchongo tupige pesa kwa aliyekuwa tayari

    Kazi iendelee nasikilizia Simi zeno tufanye kazi Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
  6. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Anaejua ambao wanahusika na mambo ya barabarani ukiegesha gari vibaya, Yono/TRA kipengele

    Kwenye office yangu imekua kero magari makubwa yanapaki vibaya sana mpka magari mengine yanashindwa kupita barabarani yni nikero kubwa gari linakaa kama ni yard karibuni mwezi Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
  7. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Anaejua ambao wanahusika na mambo ya barabarani ukiegesha gari vibaya, Yono/TRA kipengele

    Naomba kwa anaejua ambao wanahusika na mambo ya barabarani ukiwa umepark vibaya, umeegesha gari vibaya naomba msaada au office ipo maeneo gani au namba za simu za watu wanaofanya uko nakipengele kikubwa mno sijui ni yono/tra
  8. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Mchongo tupige pesa kwa aliyekuwa tayari

    0629747497
  9. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Mchongo tupige pesa kwa aliyekuwa tayari

    Kigogo kama unaenda shule ya ruthinda au jangwani
  10. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Mchongo tupige pesa kwa aliyekuwa tayari

    Kigogo Karibia Nashule ya ruthinda
  11. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Mchongo tupige pesa kwa aliyekuwa tayari

    Kigogo kama unataka kwenda jangwani
  12. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Mchongo tupige pesa kwa aliyekuwa tayari

    Nina carwash naitaji mtu ambaye atakua tayari kutafuta hata contract katika kampuni yeyote tuoshe magari yao ikiwa Kama truck kuanzia hata 50 kuendelea. Semi (aina Yoyote iwe body au mkeka) Kipisi(mende,tandamu au single) Pooling aina yoyote Tank za mafuta kusafishwa chemba vizuri kabisa Canter...
  13. Chamkae

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wenye experince na kisima

    Asante sana boss pump ya design gn
Back
Top Bottom