Recent content by chameleon

  1. chameleon

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Puma Gas kulipa fidia?

    Waungwana mimi ni mmoja kati maelfu ya wateja walionunua na kutumia mitungi ya gas ya Puma. Kwa wiki kadhaa kampuni husika haisambazi tena gesi hiyo na hivyo kutusababishia usumbufu mkubwa. Wakuu mtusaidie ni kwa jinsi gani ya kuondokana na kadhia hii na kama tumetapeliwa tutafidiwaje?
  2. chameleon

    JamiiForums Tanzania Bei ya sukari yapanda ghafla kulikoni?

    Sio siri bei ya sukari imeongezeka toka Shs 2400 mwaka jana hadi kufikia Tsh 4000 bei ya reja reja hapa Dsm ikiwa ni ongezeko la Tsh 1600 sawa na asilimia 67. Wako wapi wachumi wetu mtusaidie maana wenyenchi tumelia hadi machozi yameisha
  3. chameleon

    JamiiForums Tanzania Nisamehewe kwa kusapoti kufukuzwa kwa vijana JKT

    Wanaandamana jeshini mnawatete waasi hawa, vitani watakataa kusonga mbele na watachagua kurudi nyuma . Hawafai kwa kazi ya uanajeshi labda wapewe ajira za kisiasa.
  4. chameleon

    JamiiForums Tanzania Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona

    Vita hivyo vilidumu kuanzia mwaka 1905 hadi 1907. Hivi ni vita vilivyopiganwa na Watanganyika dhidi ya wakoloni wa Kijerumani wakipinga ukandamizwaji wa haki na uhuru wa kujiamulia mambo yao. Historia inatueleza kuwa vita hiyo mtemi wa wanajamii Kinjekitile Ngwale. Huyu alikua kiongozi shujaa...
  5. chameleon

    JamiiForums Tanzania Bar punguzeni volume ya mziki, mnafukuza wateja

    Ni changalamkaa kwa kweli maana lazima utaongea kwa kupayuka ili msikizane na kuwasiliana kwa simu ndio balaa.
  6. chameleon

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali: Naomba isiwapangie bei ya kuuza cement,wachwe watumie fursa

    Serikali ina haki ya kumlinda mlaji kwa staili ambayo haimuumizi mzalishaji wa bidhaa, msambazaji wala muuzaji. Ukiona bei ya bidhaa inapanda kiholela au ulanguzi wa bidhaa basi ni dhahiri kuna tatizo la kimfumo katika uchumi wa nchi husika. Busara zaidi za wachumi wetu zitumike kuishauri...
  7. chameleon

    JamiiForums Tanzania Wasafi TV kuanguka kabla ya kuanza

    Mbona mnahamisha mada kutoka kwenye kiini cha tatizo na kulazimishia chuki kwa nafsi za watu? Bila shaka kosa lipo na adhabu ipo kwa mujibu wa kanuni zilizowekwa na serikali yetu tukufu. Ni bahati nzuri ada ya sheria ni msumeno hukata pande zote. This time imekata kwa kipenzi cha watu hususani...
  8. chameleon

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi tunaofanyiwa na Wahindi hapa Tanzania

    Bure mnawaogopa hao wahindi mbona ni wa kawaida tu . Hawana ubaguzi wowote tatizo ni tamaduni zetu. Mabinti wa Kihindi nao wanaona kama sisi tunawabagua, nadra kudate nao wala kuongea nao "nor approach" au wangapi wametaka kuowa wakakataliwa?
  9. chameleon

    JamiiForums Tanzania Hivi haya mabanda ya Machinga kila kona Dar wameshindwa kuyadhibiti?

    Shida sio WAMACHINGA WASIFANYE BIASHARA BALI MABANDA YAJENGWE KWA UTARATIBU UNAOHESHIMU MAZINGIRA, BARABARA NA WATEMBEA KWA MIGUU. Idadi ya wateja (walaji) ni ile ile hata wakijenga mabanda mengi kama mchwa
  10. chameleon

    JamiiForums Tanzania Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

    Natamani kujua kwanini watu wasiotoa sadaka ipasavyo wanapinga sana taratibu za utoaji sadaka. Na kwanini wale wanatoa sadaka hawavunjiki moyo na wanafanikiwa zaidi kimaisha?
  11. chameleon

    JamiiForums Tanzania Rais Trump ajibu Lissu kiakili

    Write your reply...Hukumu ya juu kabisa duniani atoayo "jaji" ni kifo.. madaktari nao hutibu wagonjwa lakini kuponya ni kazi yake Mungu . Mungu ndiye mwamuzi na mamlaka yake haihojiwi kwani Yeye ni Alfa na Onega.
  12. chameleon

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Korosho ya daraja la 3 iliyorejeshwa iruhusiwe kuuzwa kwa mnunuzi yeyote

    . Sent using Jamii Forums mobile app
  13. chameleon

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri kikao cha Rais Magufuli na Mawaziri, Makatibu Wakuu, MaRCs, MaRAS na TRA

    Uchumi ungekua mzuri tusingeshindwa kufanya sherehe kuazimisha miaka 57 ya Uhuru. Hiyo miradi ya maendeleo haitaisha ikiwa taifa lipo hai.
  14. chameleon

    JamiiForums Tanzania Aibu ya kufungia mwaka: Mchungaji afumaniwa kanisani akioa mke mwingine

    Jela ya mapenzi ni mbaya kuliko zote
  15. chameleon

    JamiiForums Tanzania Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Nahumu:3.1 Ole wake mji wa damu! Umejaa mambo ya uongo na unyang'anyi; mateka hayaondoki. Nahumu:3.2 Kelele za mjeledi, kelele za magurudumu yafanyayo kishindo; na farasi wenye kupara-para, na magari ya vita yenye kuruka-ruka; Nahumu:3.5 Tazama, mimi ni juu yako, asema Bwana wa majeshi; nami...
Back
Top Bottom