Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 43, slimbody, maji ya kunde, nina urefu wa ft5inch7, kiukweli jamani natafuta mke awe na umri kuanzia miaka 35 na kuendelea.
Yule mwanamke ambaye ana shida kiukweli ya mume na ana nia thabiti anaitaji mume naomba ndie tuwasiliane, kwasababu karibu wengi wa...