Recent content by Chamcham

  1. C

    DUCE Family on JF - Special Thread

    mimi natoka dar na nilipewa mabibo hostel
  2. C

    DUCE Family on JF - Special Thread

    1st semester inaweza ikawa 74,000 na second semester 59,000...uhakika zaidi nitakujuza,msipate wasiwas tupo kaka zenu kuwasaidia kuhusu hilo la kupata rum,uongoz wa DUCE wana ushirikiano sana hasa kuhusu wagen kupata hostel iwe ya chuo au private karibuni sana.
  3. C

    Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro chageuka kituo cha kulelea wajawazito.

    asante waambie bhana vyuo vingi wanawake wana watoto
  4. C

    Kwa wale wa udsm ,kuripoti lini?

    asante kwa kuendelea kuwajuza wadogo zetu karibun,tunawasubiri
  5. C

    DUCE Family on JF - Special Thread

    suala la hostel broo zipo hostel kama mbagala,mabibo na Duce penyewe pamoja na hostel za watu binafsi kwa nje,mimi mwenyewe sikuwa na chumba na sikupata kabsa lakin nilikaa wiki watu weng tulipata accomodation.
  6. C

    DUCE Family on JF - Special Thread

    sasa hvi mambo mazuri usiwakatishe tamaa wenzio..KARIBUNI DUCE
  7. C

    Wale walioomba -sekomu kazi kwenu

    Sebastian kolowa memorial university-tanga
  8. C

    Wale walioomba -sekomu kazi kwenu

    Hayo hapo chini
  9. C

    Arusha university

    Chuo kikuu cha Arusha watoa selection,tembelea website yao.
  10. C

    TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

    TCU wametoa mimi ninayo ya CBE DSM http://www.cbe.ac.tz/index.php/selected-candidate-to-attend-pre-bachelor-course?download=60:bachelor-selected-students-by-tcu-2013
  11. C

    Evance Kisanko aka Mtoto wa Mkulima, the winner of DARUSO PRESIDENTIAL ELECTION,

    Kisango ndo jembe "haswa yeye ndiye" kila la kheri kaka etu
  12. C

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi MUSOMA VIJIJINI,natafuta mwalimu wa kubadilishana nae anayefanya kaz katika mikoa ya NJOMBE au IRINGA yeye aje musoma.
  13. C

    Wana Udsm mgodi wa Pale ARIS Unatema Leo

    DUCE tulishapata zamani sana
Back
Top Bottom