Lakini mkuu hata kama ni uvumilivu , posho ya mwezi wa 4 mpaka tarehe 24 mwezi wa 5 hawajapewa?
Just imagine intern ndio mtu wa kwanza kupambana na corona , then ndio ward manager muda wote yuko wodini anaangaika
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiwa wanajitambulisha wanajitambulisha kama Catholic university
Ila kiukweli ukiangalia uhalisia wa hayo madai ya wanafunzi unaona kabisa hapo ile jina la Catholic university linatumika vibaya
Tunafahamu education is the service and not a business ila hapo kwa hizo garama zisizo na maelezo...
Wanaoisoma dini wenyewe nahic kuna secret flani wanafundishwa juu ya dini na wana ufahamu ukweli fuatilia bifu ya makonda na gwajima pale ndio utaona dhahili kua kumbe some time dini n utapel
Wazungu walituletea dini ili kututia woga na watutawale vizuri, sasa walipoondoka wakaona wamefanikisha na wakagundua kumbe dini pia inaweza kua ni aina nyingine ya kujipatie kipato
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.