Wizara ya afya iwaangalie interns kwenye malipo ya posho zao

Tofautisha interns na waajiriwa rasmi kwenye vipaumbele...kimsingi hawawezi kuanza kuwalipa interns halafu staff waajiriwa wasubiri..Lazima waanze kwanza na waajiriwa rasmi tofauti na nyie ambao mnafanya kazi kwa kipindi cha muda maalum

Ila cha kukupa moyo ni kwamba, malipo yenu mtalipwa

NB; SIJADHARAU MCHANGO WENU, MNAPIGA KAZI SANA, ILA UVUMILIVU NI KEY.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini mkuu hata kama ni uvumilivu , posho ya mwezi wa 4 mpaka tarehe 24 mwezi wa 5 hawajapewa?
Just imagine intern ndio mtu wa kwanza kupambana na corona , then ndio ward manager muda wote yuko wodini anaangaika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tofautisha interns na waajiriwa rasmi kwenye vipaumbele...kimsingi hawawezi kuanza kuwalipa interns halafu staff waajiriwa wasubiri..Lazima waanze kwanza na waajiriwa rasmi tofauti na nyie ambao mnafanya kazi kwa kipindi cha muda maalum

Ila cha kukupa moyo ni kwamba, malipo yenu mtalipwa

NB; SIJADHARAU MCHANGO WENU, MNAPIGA KAZI SANA, ILA UVUMILIVU NI KEY.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiko sawa.. Kuna baadhi ya Taasisi interns ndo Kila kitu!! Yaani inafika mahala masaa yako ya kazi unayofanya ni zaidi ya utumishi..

Kulipwa tutalipwa ila kitendo cha kusema kundi fulani ndo priority ya kundi lingine si sawa kabisa..

Kama intern yupo katika mafunzo.. Hakuna mafunzo ya kumtumikisha mtu almost masaa 70 kwa wiki.. Hiyo haipo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sana, serikali inabidi iwakumbuke aisee,Hali ni mbaya sana,tatizo lipo BOT hawajatoa hela kwa wizara ya afya,

California love
 
Back
Top Bottom