Recent content by chamba matwe

  1. C

    Ongezeko la mshahara kada ya Afya

    Subiri mshahara wako utajua kupitia salary group
  2. C

    Jino lako linakusumbua!

    Just consult dentists
  3. C

    Nimeibiwa kiboya kweli, hata sijielewi

    Huna lolote ulisikia ukanywea;siku nyingine hata mkeo wata........shauri yako
  4. C

    Nimeibiwa kiboya kweli, hata sijielewi

    Kama mkeo ni wa bongo au pwani;muulize vizuri amekufanyizia huyo;achana naro,Kaoe Musoma
  5. C

    Nimeibiwa kiboya kweli, hata sijielewi

    Step by step Sema ulisikia ukaogopa;huna maana bora ungekaa kimya;Yaani nyumba yote msisikie,au walikutuliza ukawa mpole;sasa unatueleza tufanyeje?NENDA POLISI
  6. C

    Kocha wa Taifa Stars afungishwa virago

    Acha tuwe tunafungwa ili tuzidi kuona makocha wa kigeni wakiletwa na kufukuzwa;maana ndo kazi tunayoweza
  7. C

    Malinzi na kamati nzima ya TFF naomba usiku huu mtuage rasmi

    Kila kukicha kufungwa tu;Tutabaki washindi kwa kufukuza makocha
  8. C

    Wauzaji wa nyanya, vitunguu, hoho, nk Dar-Mbeya road ni wezi

    Stream line Hutaki acha kununua;nunu vya kilo ambavyo unaviona kwenye mizani;hizo ndo escrow zao
  9. C

    Navunja mji kwasababu mke wangu ana matumizi makubwa ya pesa

    Fukuza liende kenge nyingi hazina walaji
  10. C

    TANZIA Aisha Madinda afariki dunia

    Awe anawahi kwenda kuchukua dozi.Au vinginevyo asiwe bahili
  11. C

    Simu niibiwe mimi hasira zikushike wewe na kumponda mwizi kwa mawe na kumwagia mafuta na kumchoma.

    Kama unawaonea wezi huruma basi ukiibiwa kauka,omba MUNGU atakupa vingine.Wezi ni wengi sana kosa ni kukamatwa
  12. C

    Simu niibiwe mimi hasira zikushike wewe na kumponda mwizi kwa mawe na kumwagia mafuta na kumchoma.

    Waache wizi ndo dawa,ni bora wachomwe kuliko kupelekwa Segerea ambapo wataigharimu serikali kuwahudumia;wapigwe moto
  13. C

    Ukifanya huu uzembe, hutopiga kura Oktoba hata kama unacho kitambulisho

    Uchaguzi ni utaratibu wa kidemokrasia tu;lakini washindi wanajulikana tu
  14. C

    Wizi wa simu mabasi ya Mikoani

    Cha msingi hapo ni kutomuamini mtu usiyemfahamu vizuri
Back
Top Bottom