Je ukichunguza huweza kuona tobo?
je baada ya kuanza kuoza huoza lote au vinginevyo?
kwa msaada zaidi tembelea hapa CHALAJI COMPANY LIMITED: UFAHAMU UGONJWA WA KUOZA VITAKO(BLOSSOM END ROT) KWA MATIKITI NA NYANYA.
Lengo ni moja nalo ni wale wasio na utaalamu waelimishwe na inapotokea msaada zaidi unahitajika basi tunasaidiana.
One nation,same goals......tusamehe kama tumekuudhi kwani lengo letu ni upendo kisha maendeleo ya watu wetu na tanzania kwa ujumla.
kama kuna watu wanahitaji ikiwa ni mmoja mmoja au kundi tafadhali tupigie kupitia 0655333432
punguza gharama na uongeze faida katika ufugaji na chalaji company limited
Wengi tunakuwa na malengo mazuri ya kimaendeleo hasa ya kulima mazao fulani, lakini tunakwamishwa na shughuli mbadala ambazo nyingi ya hizo ni zile za ofisini..kwa kuona hilo CHALAJI COMPANY LIMITED imekusogezea huduma karibu zaidi...sasa unaweza ukasimamiwa shughuli zako kwa gharama ndogo na...
umesema ukweli mtupu,sema vijana wengi wamejiwekea akili ya kuajiliwa na kukwepa shughuli nyingine za maendeleo kama kilimo kwa kisingizio cha mtaji.
hapohapo huyo kijana ana iphone x ya mil 1.2....muda umefika wa vijana kujitafakali upya kabisa.
tunatoa mafunzo na ushauri juu ya masuala yote yahusuyo kilimo na masoko kwa gharama nafuu sana.
pia ili kupata ujuzi juu ya kilimo cha uyoga soma hapa CHALAJI COMPANY LIMITED: Search results for uyoga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.