Freeman Mbowe ndiye kamfanya Sabaya ajione ni mungu mdogo. Alitakiwa ashughulike naye hadi sasa awe kamumaliza lakini aliendelea kumchekelea mpaka hali imekuwa hivyo ilivyo.
Upole umezidi ndiyo maana watu wanafanyiana ushenzi baada ya kudhulumiana na mwisho wanawasingizia wapinzani wao Wa kisiasa. Kwani simu ya mtuhumiwa inaonyesha nani mtu Wa mwisho kuwasiliana naye na alikuwa eneo gani?
Wakati mwingine jitahidi kuficha upumbavu wako. Lisu ndiye aliwatuma kuvunja mkataba kinyume na mlivyokubaliana? Kila madudu yenu mnasingizia Lisu, mtasema mengi ila hamtudanganyi tena!
Tunduma imekuwa chini ya upinzani kwa miaka kumi tu, je miaka hiyo mingine hamsini mllikuwa wapi kuwapelekea maji? Kuna mbunge alikuwa naibu Waziri kabisa lakini hamkupeleka maji. CCM ni wapumbavu sana na Sera zenu.
Nakupa 100% Mkuu, haya yoote uliyoorodhesha na mwisho hilo la Amsterdam umemaliza kila kitu. Huo ndiyo ukweli wenyewe na bado mengi yapo njiani. Hii ni sehemu ndogo tu.
Hata kura za Fb Magu haongozi acha kudanganya hapa. Mwanzo mlisema kuwa Lisu anaongoza Fb na JF lakini hivi sasa mmekuja na hoja kuwa Lisu anaongoza JF ila Fb anaongoza Magu. Fb watumiaji wengi ni vijana na mgombea wenu hana ushawishi kabisa kwa vijana kutokana na Sera sake mbovu za elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.