Mleta mada nimependa uandishi wako na utaalamu wako wa lugha ya malkia. Pascal kaona nyota nyota akakurupuka na ma thread yake yake ya propaganda za kujipendekeza ili apate ukuu wa wilaya.
Kama ni kweli Dr. Slaa arudishwe nyumbani maana tulidhani atawalazimisha wasweden kuunga juhudi za jiwe kama yeye alivyofanya kumbe amekalia matanuzi tu na baby wake, kha!
Hujui unachoongea. Unataka wataalamu wakae tena kwa kuwa kuna mapesa ya yasiyo na kazi? Fursa ya utatuzi ndiyo hiyo project ya BRT walipaswa waitumie vizuri lakini waliichezea kwa sababu aliyekuwa waziri wa ujenzi yeye alikalia mambo ya kukurupuka tu na sasa anajiita jiwe! Shame on Maccm yote!
Aliyesimamia ujenzi wa hizo barabara alipaswa kuwa korokoroni hadi sasa. Hilo daraja la Jangwani lilipaswa kuwa juu kuepuka hizi kadhia za miaka na miaka. Nina hakika angekuwa mwingine angeshahusishwa na tuhuma za upigaji. Anyway, nasikia malaika haguswi!