Wakuu heshima kwenu ndg zangu, wakubwa shikamooni lika langu habari zenu.
Baada ya salamu naomba niwape pole kwa majukumu mbali mbali na hongera kwa utekerezaji wa majukumu hayo.
Kilichonileta kwenu ndg zangu, naomba mchanganuo wenu wenye wazo au mawazo ya biashara ambayo nikiiifanya itanitoa...
Wakuu, Nataka kuanza biashara ya kuuza gesi za majumbani naomba mwongozo walau mtaji kiasi gani na biashara inafanyika vip
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu,....mimi ninaomba kwenu mchango wa mawazo kulingana na hali hali halisi ilipo kwa sasa , je nikozi gani ambayo mtu mwenye ufaulu alama D 4, ambazo ni kwa masomo ya Art isipokuwa somo la biology nalo lipo na kukamilisha hizo D4.
Naomba sana ushaur wenu je kozi ipi itafaaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.