Wataalam nisaidieni naweza pata wapi card ya flat screen yangu imepiga shot na haifai.
Niko mkoani Njombe namba 0752048709 mwenye uelelewa nitapata wapi na kwa bei gani.
Natanguliza shukurani asanteni.
Kama kichwa cha habari wakuu natafuta mafundi wa flat tv kwani Nina shida ya card kwenye singsung flat nch 24 natafuta Fundi mwenye nayo tuwasiliane nijue na bei 0752048709
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.