Recent content by chai_nazi

  1. chai_nazi

    Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

    Sijafika huko lkn naona umeeleza vizuri sana mzee baba[emoji120]
  2. chai_nazi

    Thailand: Jamaa aumwa nyeti zake na nyoka akiwa msalani

    Alikuwa anatazama pilau chooni huyo
  3. chai_nazi

    Faza Nelly: Nuru ya Hip Hop iliyozima kwa Kupigwa Kisu

    Dah umetukumbusha tena hili tukio[emoji22] Rest in peace Nelson[emoji120]
  4. chai_nazi

    Kilichotokea kwa Gwajima na Shehe Majini kiwe fundisho kwa wananchi

    Hana Msikiti, hatambuliwi na taasisi yoyote ya Kiislamu, sio na hajawahi kuwa Sheikh (Sheikh ni Daraja kubwa katika Uislamu). Huduma zake za kitapeli na Uganga anazifanyia Mabibo, ndipo kwenye ofisi zake!
  5. chai_nazi

    Aliyefanikiwa kupata namba yake ya utambulisho NIDA kupitia tovuti atoe ushuhuda

    Jaza taarifa sahihi kama ulizojaza kwenye fomu, mimi nilifanikiwa kupata namba na kopi ya kitambulisho kupitia tovuti yao Sent using Jamii Forums mobile app
  6. chai_nazi

    Wataalam na bunduki

    RPG.!?
  7. chai_nazi

    Sintofahamu kifo cha kijana Kigamboni

    Mimi huwa naamini sana kwenye kisasi, nikikukosa ww basi hata mwanao/mkeo hata mamako mzazi!!! hakuna mahakama wala polisi itakupa haki!
Back
Top Bottom