Hili ni janga la kitaifa, nipo zangu hapa mambali Tabora, vijana wanakula ulabu kutoka burundi wa kutosha, ukitoka hapa nenda hapo makambako, na kwinginepo uwafikishie huu ujumbe.
Sehemu zote hasa vijijini vijana wanazamia kwenye uraibu wa pombe tena zile za bei rahisi.
Siku zote kelele hupigwa na masalia ya wavamizi wa zanzibar, hata hapa watakuja wao.
Atakayetukana comment yangu, ajue yeye mara 2 yake in advance, hatakama ni kimoyomoyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.