Recent content by Chagga King

  1. C

    Naenda na Dotto Biteko Uwaziri Mkuu Katika Baraza lijalo la Mawaziri

    Huo hauwezi kuwa utabiri, huwezi kutabiri kuwa jiwe likirushwa lazma litarudi chini
  2. C

    Polepole hana athari zozote kisiasa na kijamii. Asanteni Watanzania kwa kumpuuza

    Mtu ambaye hana athari yoyote ndo umwandikie uzi mrefu hivyo
  3. C

    Kujiuzulu ni hadi aliyekuteua aridhie ndio sababu Lowassa alijiuzulu mbele ya Wabunge waliompigia Kura awe Waziri mkuu!

    Kajiudhulu lini!? Maswali mengine ni non sense, unajua kabisa tunaye makamu wa Rais mpaka sasa halafu kweli unakuja kuuliza swali la namna hii?
  4. C

    Uwinga wa Kariakoo: Kazi Inayodharauiwa Lakini Inawalipa Zaidi ya Madaktari(elimu ya uwinga)

    ...siku hz cd hazitumiki, nadhani uwinga utakufaa, hopeful umenielewa
  5. C

    Uwinga wa Kariakoo: Kazi Inayodharauiwa Lakini Inawalipa Zaidi ya Madaktari(elimu ya uwinga)

    Kwa hiyo madakitari waache kazi za udakitari waje kufanya uwinga?
  6. C

    Godoro gani ni zuri na linadumu kati ya haya? Nashindwa kuchagua

    ...unataka kununua godoro lililotumika!?
  7. C

    Godoro gani ni zuri na linadumu kati ya haya? Nashindwa kuchagua

    ...kuna godoro la qfl dodoma la inchi 12 nilinunua 2017, ukilirudisha dukani linanunulika
  8. C

    Humphrey Polepole ni Mkatoliki mfia dini

    Hakuna mfia dini aliye hai
  9. C

    Godoro gani ni zuri na linadumu kati ya haya? Nashindwa kuchagua

    Hayo sijui, ila nunua Tanfoam Arusha au qfl dodoma, kama unayaka ya kudumu, nimeyatumia sana
  10. C

    Kodi inaangamiza vijana Wa Kilimanjaro, Arusha, na Manyara

    Hili ni janga la kitaifa, nipo zangu hapa mambali Tabora, vijana wanakula ulabu kutoka burundi wa kutosha, ukitoka hapa nenda hapo makambako, na kwinginepo uwafikishie huu ujumbe. Sehemu zote hasa vijijini vijana wanazamia kwenye uraibu wa pombe tena zile za bei rahisi.
  11. C

    Wazanzibar wanalalamikia sana muundo wa muungano na kusahau muungano ulifanywa haraka sana bila majadiliano ya kina ili kuwaokoa wasichinjwe

    Siku zote kelele hupigwa na masalia ya wavamizi wa zanzibar, hata hapa watakuja wao. Atakayetukana comment yangu, ajue yeye mara 2 yake in advance, hatakama ni kimoyomoyo
  12. C

    Achana na hoteli/guest house unapofika Zanzibar, nyumba za kufikia(appartments) ni nafuu zaidi na salama

    ...nimeandika zenj nikimaanisha Zanzibar, siyo wote ila kwa zile comments inafikirisha sana, hasa kwa wenjeji kufanyiwa hivyo
Back
Top Bottom