Hiyo picha nimeweka ni mfano ukitaka kuchukua mkopo wa 10yrs, wala siyo ya mkopo halisi, kama huelewi omba uelekezwe, usikurupuke kutoa majibu ya hovyo. We umeona kuna mkopo uliochukuliwa hapo?
Umesema vizuri sana, ila nataka nikuambie kuwa, kuna watumishi wengi sana ambao wametupwa mbali na wakati.
Kuna watumishi hawawezi kujaza PEPMIS au kutumia tu ESS, kutuma email, n.k.
Na kwakuwa uombaji wa mikopo wengi hufanya siri, sasa hapa ndio wengi huumizwa, we jiulize tu kama zipo taasisi...
Salaam!
Kuleta mfumo wa ESS ni jambo zuri hasa katika uombaji wa mikopo binafsi.
Tatizo lililopo, watumishi wengi hawana uelewa wa athari za hii mikopo, maana imefikia mpaka 40% ya riba.
Unakopa 16M, unapewa 14M then unalipa 70M wao wanapata 50M+
Serikali kupitia Utumishi, mmesajili taasisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.