Recent content by chagga gang

  1. C

    Kila la heri wanafunzi wa Darasa la Nne

    NAKUMBUKA 2008 TULIPEWA MAJIBU YA DARASA LA NNE, JAPOKUWA NILIKUA NAJUA VINGI.. NA SASA NAMALIZIA MASTERS
  2. C

    Serikali iunde Taasisi ya kutunga na kusahihisha Mitihani ya Vyuo vya elimu ya Juu, Rushwa ya Ngono Imeshika kasi

    NI MAKUBALIANO .. USIPOUMIZA KICHWA KWA KUSOMA..VIUNGO VINGINE VITAUMIA ILI UFAULU
  3. C

    Naweza soma chuo bila mkopo?

    Tafuta ada nenda kasome
  4. C

    Ni nini sababu ya kupungua kwa mikopo ya HESLB mwaka 2021?

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Ijumaa, Oktoba 22, 2021) orodha ya awamu ya pili yenye wanafunzi 7,364 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 19.4 Bilioni kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo. Mkurugenzi Mtendaji...
  5. C

    Awamu ya pili ya mkopo wa HESLB ilitakiwa kutolewa leo tarehe 21 Oktoba?

    Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Ijumaa, Oktoba 22, 2021) orodha ya awamu ya pili yenye wanafunzi 7,364 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 19.4 Bilioni kwa mwaka wa masomo 2021/2022 unaotarajiwa kuanzia wiki ijayo. Mkurugenzi Mtendaji...
  6. C

    Mikopo Wamu ya Pili (Oktoba 2021) Imetoka

    Wakuu AWAMU ya PILI ipo kama ya kwanza kwenye allocation au ni 50%? Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Ijumaa, Oktoba 22, 2021) orodha ya awamu ya pili yenye wanafunzi 7,364 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo yenye thamani ya TZS 19.4 Bilioni kwa mwaka wa...
  7. C

    Awamu ya pili ya mkopo wa HESLB ilitakiwa kutolewa leo tarehe 21 Oktoba?

    Tena wewe ulikua unalialia sana duh.. Kongole mkuu
  8. C

    Nimechanganyikiwa nisaidieni

    Tembeza bakuli[emoji2]
Back
Top Bottom