Tafuta ndugu zako mkafanye fujo hapo shulen hakikisha iwe fujo mpka waandishi wa habari waje shule ifungwee kwa muda .. hapo tatizo lako litakuwa limesikika kikamilifu. Au chukua maiti ya mwanao beba mpka shule
Kwani hao wanao watoa wasichana Bikra ni kinanani ? Mbona wanazikuta na kuzitoa lakini bado wanasepa. Wanaume ni waaribifu hata hao wasichana mnao wakuta hawana Bikra mnazani nani kazitoa kama siyo hao [emoji83]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.