Recent content by chagaga

  1. chagaga

    JamiiForums Tanzania Mila za jadi na mizmu ya ukoo

    Kama kuna mmasai anaye fanya mambo ya mila au anaye jua tambiko naomba anifundishe
  2. chagaga

    JamiiForums Tanzania Shangazi yake nani huyu? Ila hili suala la wazee kukosa pumzi amelisemea vizuri

    Ila pumzi za kupuliza mitungi wanazo😄
  3. chagaga

    JamiiForums Tanzania “Everyday” ya Phil Collins: Simulizi ya Maumivu na Kumbukumbu za Mapenzi

    Nikisikilizaga huo wimbo akili inatulia sana😒
  4. chagaga

    JamiiForums Tanzania Niombeeni nimechaguliwa kwenda Congo kuwaondoa m23 kundi letu linaondoka Jumanne

    Usikae mbele sana wala nyuma sana kila la kheri mapigano mema.
  5. chagaga

    JamiiForums Tanzania Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

    Hivi hukuona yule jamaa alie baka kuku majuzi utupe na hiyo taarifa nasikia jamaa naye ni kataa Ndoa
  6. chagaga

    JamiiForums Tanzania Jirani sijakualika Idd kwanini hauondoki kwang? story haziishi

    Huyo jirani angewa ni wakike ningekushauri mrusu akae kitandani.
  7. chagaga

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Si amesha sema mwenyewe Arusha anamiezi mitatu tu? Anasoma kwanza ramani
  8. chagaga

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Tafuta ndugu zako mkafanye fujo hapo shulen hakikisha iwe fujo mpka waandishi wa habari waje shule ifungwee kwa muda .. hapo tatizo lako litakuwa limesikika kikamilifu. Au chukua maiti ya mwanao beba mpka shule
  9. chagaga

    JamiiForums Tanzania Kama huyo mkeo hujamkuta bikra fukuza huyo mzinzi

    Kwani hao wanao watoa wasichana Bikra ni kinanani ? Mbona wanazikuta na kuzitoa lakini bado wanasepa. Wanaume ni waaribifu hata hao wasichana mnao wakuta hawana Bikra mnazani nani kazitoa kama siyo hao [emoji83]
  10. chagaga

    JamiiForums Tanzania Mama anang’ang’ania kunifulia nguo zangu.

    Anakasirika na kulia muda mwingine ni huzuni kwakweli
  11. chagaga

    JamiiForums Tanzania Jana alinitumia meseji ya usiku mwema sawa moja jioni.

    Umeme cm imezima charg jumatatu asubuh atakuelezea vizur
  12. chagaga

    JamiiForums Tanzania Umeme kwetu hamna

    Kinondoni shwaaaaa umeme umetutokaa.
Back
Top Bottom