Recent content by Chaga One

  1. C

    Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

    Makonda anahusika hapa, sababu ya kupelekwa Arusha ni ipi Kamanda wa Polisi ahojiwe vizuri japo ni vigumu.
  2. C

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Mkuu S10plus ya ram 12 na tb1 ipo kweli?, ikiwa ndiyo itanifikia kwa sh. ngapi?.
  3. C

    Tunduma: Wafanyabiashara waunga mkono Mgomo, Wajipanga kuhamia Zambia, Waanza kuandikisha majina

    Lipeni kodi kwa maendeleo ya taifa, acheni ujanja unjanja.
  4. C

    Tunduma: Wafanyabiashara waunga mkono Mgomo, Wajipanga kuhamia Zambia, Waanza kuandikisha majina

    Ikiwa kodi ni kubwa na wewe mfanyabishara haupati faida kwa nini ung"ang"nie kufanya biashara ikiwa Serikali haitaki kubadili mtazamo wake.
  5. C

    Tunduma: Wafanyabiashara waunga mkono Mgomo, Wajipanga kuhamia Zambia, Waanza kuandikisha majina

    Kuna haja ya Serikali kuweka bei elekezi kwa wafanya biashara hasa wa Kariakoo maana pamoja na kutaka wapunguziwe kodi bado wanauza bidhaa kwa wanainchi kwa bei ya juu sana na ukihitaji risiti wanakuambia mashine ya kutolea risiti netiweki haipatikani kumbe ni ujanja wa kukwepa kodi.
  6. C

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Teacher, Samsung S10+ Plus nitaipata kwa sh. ngapi?.
  7. C

    Hotel ya Southern Sun - Weaver Birds

    Mi nadhani la msingi ni kutafuta hiyo miti maana inapendwa na ndege wengi.
  8. C

    Hotel ya Southern Sun - Weaver Birds

    Mbona kwenye hiyo Hotel hakuna chanzo cha maji na ndege wapo.
  9. C

    Umoja wa wanawake CCM wasikitishwa na udhalilishaji wa Makonda, watoa tamko

    Makonda noma sana, anaharibu lakini bado wanamkumbatia yawezekana huyu Bashite ana siri nyingi za Magufuli.
  10. C

    Rais Samia zuia mikutano ya Siasa mpaka wakati wa Kampeni

    Huo si uchawa ni ushamba washauri wa Rais wapo wewe huna mamlaka ya kumshauri Rais mwenyewe kayaruhusu.
  11. C

    Vijana chukueni mchongo wa soya

    Mkuu wewe unalima? au unahamasisha wengine walime ili uje kuwachuuza.
  12. C

    China ilikuwa sawa na Tanzania, leo wao sawa na Marekani

    Waulize viongozi wako wa Chama Cha Mapinduzi ndio watawala.
  13. C

    Kilimanjaro: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Freeman Mbowe

    Nipo kwenye mkutano Mwabukusi ndio kamaliza kuongea sasa ndio anakuja mwenyekiti kanda ya kaskazini Nd. Amani Golugwa.
Back
Top Bottom