Mimi nilijua wamekatalia magari yetu kuingia inchini mwao kumbe wameongeza fee kwenye magari. Sisi acha tuendelee kutoa misimaha ya kodi. Leta hoja zenye mashiko na ambazo zitaleeta manufaa kwa taifa na sio huu upuuzi.
Yani kwa ufupi ni kuwa watu walio mzunguka rais wetu ni ma mbumbu na hao ndio watasabisha inchi ingie kwenye vita bia sababu yoyote.
Na yote haya ni madhara ya ccm kuingia serekalini kwa kuhonga huku wasomi na watu wanao weza kutoa ushauri na kufanya kazi kwa uzarendo wakiachwa. Anyway lets...
Ungesema kuwa umeiona chopper bar ningekuelewa lakini sio gari. Ina maana hujagundua kuwa viongozi hutumia chopper na sio magiri kama magamba. Achana na mambo ya Chadema kijana.
----...how do you dare come up with exemption complaints to the majority of poor Tanzanians who doesn't even know the meaning it. if you can't be petient go pay and stop spreading nonses.
Ccm haiwezi shinda kwa njia yoyote ile maana wananchi walishapoteza matumaini na hicho chama. Vinginevyo wakitaka washinde wamchukue Dr.Slaa akagombee kwa ticketi ya ccm.
Ccm haiwezi shinda kwa njia yoyote ile maana wananchi walishapoteza matumaini na hicho chama. Vinginevyo wakita washinde wamchukue Dr.Slaa akagombee kwa ticketi ya ccm.
The government (CCM) of this country is becoming a joke. Any full can easily come up with stupid decision which shame to our people and country as whole before the other countries.
If we are not serious and very carefull on choosing good leaders, one foolish person will put this beatiful...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.