Recent content by chadema saut mwanza

  1. chadema saut mwanza

    MAJANGA: Tanzania kuilipa kampuni ya KONOIKE zaidi ya Sh. Bilioni 133 baada ya kushindwa kesi mahakamani!

    mwambie uncle Magu maaamuzi yakukurupuka hayatusaidii bali ni kutuumiza tu. Ogopa mkaamuzi yanayofanywa na Pombe
  2. chadema saut mwanza

    UKAWA kususia Futari za Viongozi wakuu Mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni jambo la ajabu

    nilazima kufuturu kwa waziri mkuu au magu? ukawa hakuna nidhamu za uoga.
  3. chadema saut mwanza

    UKAWA kususia Futari za Viongozi wakuu Mfungo wa Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni jambo la ajabu

    mawazo potofu kuchanganya dini na siasa. ukimaliza dini utakuja na ukanda. hizo ni akili za usiku
  4. chadema saut mwanza

    Sakata la UDOM; Rais anasema hili UDSM na Waziri anasema Lile Bungeni, Inaleta Picha gani?

    Sakata la kuondolewa wanafunzi 7802 waliokuwa wanasoma diploma ya ualimu katika chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) linazidi kuchukua sura mpya kila siku baada ya viongozi wetu wenye dhamana kutoa ufafanuzi wa suara hilo kwa kukinzana. Ikumbukwe kuwa serikali ya hawamu iliyopita baada ya kugundua...
  5. chadema saut mwanza

    Rais niombe radhi

    jamaa unatisha sanaaaa
  6. chadema saut mwanza

    Magufuli: Wanaopita kwenye barabara za mwendokasi chomoeni tairi za magari yao muuze

    nilidhani ulipoa kumbe bado! Nchii siyo mali ya rais wala awaye yoyote. lazima tuheshimu utawala wa kisheria na tuongozwe kwa misingi iliyewekwa kwa kuiheshimu katiba! kama mtu katenda kosa ahukumiwe ila siyo kufundisha wizi tena ufanywe na walinzi wa raia na mali zao!
  7. chadema saut mwanza

    Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

    kwa mara ya kwanza kwa bunge hili,imeandikwa historia kwa wabunge wetu kuziweka pembeni tofauti zao za kidini, kanda na ZAIDI VYAMA VYAO wakasimama kuwatetea wanafunzi 7802 walifukuzwa kwa mabomu na askari wakitekeleza agizo la serikali mizuka. Hongera wabunge wetu
  8. chadema saut mwanza

    Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

    wewe ni bendera mkuu! ninacho kishuhudia ni uwezo mdogo wa kufikiri. kama rais alijua waliojiunga hawanasifa, wangewaondoa wasio na sifa wakabaki wenye sifa wasome. Tatizo ni moja kwa nchii hii, hatuna dira ya Taifa. kila rais anakuja kusimamia kile anachokiamini yeye na siyo dira ya Taifa...
  9. chadema saut mwanza

    Rais Mstaafu Kikwete, Wanafunzi 7802 UDOM wana baraka zako, watetee

    shida ya tTanzani Hakuna cha ufisadi, Magu wala nani. shida ya Tanzania kila kiongozi anayekuja anakuja na mtazamo wake pasina kuchunguza athari kwa jamii! Hakuna mwendelezo wa miradi iliyo tangulia wala uboreshaji wowote. Tumekosa dira ya taifa. Hatujui tunataka nini, lini na kwa njia zipi...
  10. chadema saut mwanza

    Magufuli: Wanaopita kwenye barabara za mwendokasi chomoeni tairi za magari yao muuze

    Rais wa nchi badala ya kuimiza uwajibikaji na kuheshimu sheria, yy ndo anahimiza uharifu kwa polisi wetu! Hii ni aibu kubwa
  11. chadema saut mwanza

    CHASO TALK KUFANYIKA MWEZI HUU

    Jukwaa la Jumuhia ya wanafunzi wa vyuo vikuu wanachadema mkoa wa Mwanza yaani Chadema Student Organization (CHASO TALK), inatarajiwa kufanyika mwezi huu. Hili ni jukwaa ambalo huwapa fursa wasomi kutoka vyuo mbalimbali vya mkoa huu kujadili na kubadilishana mawazo. Jukwaa hili hujulikana kama...
  12. chadema saut mwanza

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    kwa namna unavyojitahidi kumshambulia kubenea ni dhahiri unaatumika. Na hii inanipapicha kwamba wenda kaushika pabaya mfumo unaoutumikia. nainachokiamini ni kuwa Kubenea hawezi kata tamaa au kuvunjika moyo kwa shambulizi lako, bali unamjenga na kumjaza kiu ya kuzidi kuonesha thamani yake kwa...
  13. chadema saut mwanza

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    Elimu ni nini? nini umuhimu wa elimu hasa kwa jamii? au elimu kwako ni vyeti na GPA ambazo ni non applicable?
  14. chadema saut mwanza

    Saed Kubenea: Sijagombea PAC, sijagushi jina wala Zitto hajui MwanaHalisi ilivyoanza

    Ulitaka afafanue elimu yake ili? kama unachukia kuishi kwake kijanja, wewe ishi kishamba ngoma droo au?
Back
Top Bottom