Asalaam
Mkuu wa jeshi la polisi IGP Ernest Mangu anapaswa kuwajibika kwa kukiukwa kwa maadili ktk jeshi hilo.
Mosi,tukio la kushambuliwa kwa mwenyekiti wa CUF linatosha KUMFURUSHA kutokana na siasa inayoendelea ktk tasisi hiyo ya ulinzi...wamekuwa wakifanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa...
Kwa hiyo mama mingoi unataka kuwala vijana wa bavicha? maana kitu chochote kisicho riziki hakiliki.
mama mingoi eti nawe kambi lowassa.
Kamsaidia mke mwenza Asha Baraka anatafuta ubunge huko kasulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.