Recent content by CHADEMA MOIVARO

  1. C

    Lusinde: Kiti cha spika kinapwaya

    Lusinde ni aina ya wabunge wote wa ccm walivyo. Wenye ilo jina wanadhalilika sana.
  2. C

    Polisi: Tumezuia maandamano ya CUF kutokana na silaha zilizoibiwa Ikwiriri Rufiji

    Asalaam Mkuu wa jeshi la polisi IGP Ernest Mangu anapaswa kuwajibika kwa kukiukwa kwa maadili ktk jeshi hilo. Mosi,tukio la kushambuliwa kwa mwenyekiti wa CUF linatosha KUMFURUSHA kutokana na siasa inayoendelea ktk tasisi hiyo ya ulinzi...wamekuwa wakifanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa...
  3. C

    Mwigulu nchemba Mwiba mkali, mfalme wa mikakati aliegeuka lulu siasa za uraisi 2015

    Ajira huna ndo maana unatumika na CHAVDA WA PILI.
  4. C

    Mwigulu nchemba Mwiba mkali, mfalme wa mikakati aliegeuka lulu siasa za uraisi 2015

    TRUE..magamba hawana mgombea thabiti mwaka huu.
  5. C

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Kwa hiyo mama mingoi unataka kuwala vijana wa bavicha? maana kitu chochote kisicho riziki hakiliki. mama mingoi eti nawe kambi lowassa. Kamsaidia mke mwenza Asha Baraka anatafuta ubunge huko kasulu.
  6. C

    January Makamba ni mzigo usiobebeka

    Itadua taae..kweli
  7. C

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Kumbe wewe mkata wezele wa twanga upo team lowassa,mtaishia njiani.
  8. C

    Vijana wa Lowassa (4u movement) wasambaa mikoani wakifanya kampeni

    Nimecheka sana,umempa nyeupe huyu mkazi wa NGARA..waweza kuta hata sio raia.
  9. C

    January Makamba ni mzigo usiobebeka

    Huyu bwana na kipara chake aambiwe safari hii hatumtumii LUNDENGA kumtafuta MKULU.
  10. C

    Prof. Maghembe Yuko Taabani Mwanga Kumekucha Sasa

    Magembe ni kiazi,ajiandae kwenda kuuza matembele MALAWI kama zamani.
  11. C

    Prof. Maghembe Yuko Taabani Mwanga Kumekucha Sasa

    CCM ipo hoi sehemu nyingi.
  12. C

    Diwani Ephata Nanyaro wa Levolosi Arusha - Utekelezaji wa Maendeleo

    Tunahitaji kasi ya maendeleo kata mpya ya Moivaro iwe kama levolosi,hongera NANYARO.
Back
Top Bottom