Recent content by Chacho Haulage

  1. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

    Ni gari zipi hizo zinazokubali gia bila clutch?
  2. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

    Driving schools za siku hizi mwanafunzi ndo anachagua ajifunze kipi mkuu.
  3. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

    Sijawahi kugusa manual ya petrol mkuu. Kama nazo zinauwezo huo kumbe ziko fresh pia.
  4. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

    Mleta mada, unavyoachia clutch wakati wa kuondoka ndo utaachia clutch hivyo hivyo kwenye kila gia. Sio eti namba 1 unaachia taratibu halafu gia zilizobaki unaachia ghafla. Ukiweka gia kanyaga mafuta kabla hujaachia clutch. Tena kanyaga mafuta bila kuogopa. Jitahidi pia kujua gia ipi inafaa kwa...
  5. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kuweza kubalance klachi kubadili gia kwenye gari za manual

    Manual za diesel zinavumilia sana malena. Haizimiki hovyo hovyo. Gia namba moja inaondoa gari bila kukanyaga mafuta.
  6. Chacho Haulage

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa mwanamke wa kisasa Tanzania ni changamoto sana katika mahusiano/ndoa

    Kwahiyo unataka ukichelewa kurudi nikupokee nikukaribishe uketi then nianze kukusimulia jua kali mpaka ilipoishia?
  7. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Umemuelewaje Mwamvita Makamba?

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Sijaona mnyama aliyejazika kama yule mwana wane
  8. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Aibu gani uliipata kwenye gari kwa mara ya kwanza?

    Bombardier ilinishinda kuwasha. Sikujua kuwa ni mpaka ukanyage clutch pedal hata kama gear shifter ipo at neutral position.
  9. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Nimekagua Gari sita Yard siku ya leo, majanga ni makubwa.

    Huyo jamaa hata hajui ameandika kitu gani.
  10. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Kati ya hizi gari, ipi ni nzuri Kwa mizunguko hapa mjini.

    Umeleta machaguo mengi sana na mbaya zaidi baadhi ya machaguo yana generation mpaka tano
  11. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania KERO Foleni Mbagala Rangi 3-Kongowe

    Sasa hivi imewekwa lami vimebaki vipande vichache tu ambavyo ujenzi unaendelea
  12. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi truck drivers Lithuania

    Sawa
  13. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Aibu gani uliipata kwenye gari kwa mara ya kwanza?

    Mwandishi wa global amefanya nini mkuu?
  14. Chacho Haulage

    JamiiForums Tanzania Habari nzuri kwa makampuni ya Mabasi: CATL wazindua battery yenye lifespan ya miaka 15!

    Aisee nilikusudia kilomita laki na nusu boss, nilichanganya mambo
Back
Top Bottom