Recent content by chacha patrick

  1. chacha patrick

    Naombeni msaada wana JF

    Pole sana dada muombe mwenyezi mungu akuepushe na hayo maswaibi
  2. chacha patrick

    Tanzia: Member mwenzetu Marejesho amefiwa na mdogo wake wa Kiume

    Pole sana kaka kwa kipindi hiki kigumu bt tupo pamoja nawe
  3. chacha patrick

    HESLB duh, nakata tamaa

    Mkuu naona sua tayari
  4. chacha patrick

    Ticha gani wa twisheni ulikuwa unamkubali sana

    Elias kihombo kwa physics ni balaaa tupu
  5. chacha patrick

    Transfer to medical related programmes

    Hapo wanatoa kwa wote mkuu coz transfer bado inaendelea kwa baadhi ya vyuo ambae deadline trh 10
  6. chacha patrick

    HESLB duh, nakata tamaa

    Mm mzee wangu hata matumaini ya kwenda chuo hanipi kila siku ananiuliza mkopo bado kwa maana iyo bila mkopo chuo na mm ndo ivyo
  7. chacha patrick

    Umechaguliwa wapi? Kutana na Wanachuo Wenzako!

    Bachero degree in wildlife management mweka
  8. chacha patrick

    Je, umewahi kujutia shahada uliyosomea? Njoo tushauriane!

    Jamani mwenye ulewa na hi I coz bachelor degree in wildlife management ndo nimechsguliwa hiyo coz mweka je inae ajila naomba kueleweshwa
  9. chacha patrick

    Wale wa second round njoni hapa

    Mbona mie chalii angu kachaguliwa ud na alikuwa second round
  10. chacha patrick

    MAJINA 12,867 ya wale ambao hawakuchakuchaguliwa na TCU raundi ya kwanza

    Na wengine tayari wameishachaguliwa vyuoni kaka ambao ni second round we subiri kesho majina yote yanatolewa
  11. chacha patrick

    Vyuo kadhaa kutoa majina ya waliodahiliwa muda wowote

    Mweka jamani mwenye kujua kama wametoa majina naomba kusaidiwa
Back
Top Bottom