Recent content by chabusalu

  1. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni halali mke kulazimisha tendo kwa nguvu?

    Pole sana ndugu, kwa yanaokusibu japo umeona uzuge kuwa ni jamaa yako. Mpe mkeo kilichomtoa kwao ndio hicho, hajafuata kitu kingine!
  2. C

    JamiiForums Tanzania Robert Kisena afutiwa Mashitaka yote 15, Aachiwa huru

    Kuamini kwamba alikuwa na kesi ni kujidharirisha tu!
  3. C

    JamiiForums Tanzania Robert Kisena afutiwa Mashitaka yote 15, Aachiwa huru

    Msoga oyeee!
  4. C

    JamiiForums Tanzania Waziri Bashungwa atoa siku 7 mabasi yote ya mikoani yawe yanaingia Magufuli Bus Terminal, si Shekilango

    Well said. Hii serikali inalazimisha kufanya maisha ya wana Dar es Salaam kuwa magumu sana bila sababu ya msingi. Ili mtu atoke Chanika/ Vikindu, Kisarawe II, au Mgeni Nani awahi basi saa 12:00 asubuhi kituo cha Magufuli inabidi alale stendi. Kama atalala nyumbani kwake atalazimika kukodi...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

    NA HUYU ROSE SHABOKA NI MCHUNGAJI MSOMI MWENYE SHAHADA YA UCHUMI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM!
  6. C

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

    Kwa kesi ya huyu jamaa, mambo mawili yanapaswa kutazamwa: Kwanza, kwanini aliteuliwa, na pili, mwenyewe anachukuliaje kuteuliwa kwake!
  7. C

    JamiiForums Tanzania Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

    Wa kwako ndio utumbo zaidi. Uhuru wa kuabudu hauna maana ya kanisa kuunga mkono mafundisho potofu. Kanisa Katoliki linaamini kuwa kinachofanywa na akina Mwaposaya and the like ni upotofu. So haliwezi kuacha waumini wake wakimbilie kwenye imani potofu. Wanachoweza kufanya wale wanaoona Mwamposya...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Ajenda za CHADEMA zilizojadiliwa Ikulu

    Katiba imevunjwa hata kabla ya suala lenyewe kupelekwa mahakamani!
  9. C

    JamiiForums Tanzania Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?

    Nyie wanasheria wa darasani bwana! Halima Mdee hakufanya matendo yale ya kihuni kama mwenyekiti wa Bawacha, alifanya kama mwanachama wa Chadema, halafu unataka ashughulikiwe kama mwenyekiti wa Bawacha? Haya mapungufu unayoyaonesha hapa nadhani ni kwa vile elimu yako ya sheria "haijaboreshwa"...
  10. C

    JamiiForums Tanzania Wenyeji wa Shinyanga naomba mniambie sehemu nzuri ya kulala (Guest house)

    Karibu na stendi ya mabasi yanayotoka Dar hapo Shinyanga sehemu gani ni pazuri kulala, kwa bajeti za kihangaikaji (20,000 au 25,000)?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

    Kuanzia ulipotangaza kuwa Kada wa CCM huna haja ya kutuambia kuwa hujafikiria kuanzisha movement yoyote, tuambie tu kwamba huwezi kabisa kuthubutu kufanya jambo kama hilo!
  12. C

    JamiiForums Tanzania Mtangazaji wa ITV Mabere Makubi usiangaike na ajira ITV, wiki ijayo utapata ajira nje nakamilisha mazungumzo

    Mungu huwatumia hata wale wanaoonekana kuwa dhaifu kabisa, wale ambao wewe unawaita 'kajanja'!
Back
Top Bottom