Well said. Hii serikali inalazimisha kufanya maisha ya wana Dar es Salaam kuwa magumu sana bila sababu ya msingi. Ili mtu atoke Chanika/ Vikindu, Kisarawe II, au Mgeni Nani awahi basi saa 12:00 asubuhi kituo cha Magufuli inabidi alale stendi. Kama atalala nyumbani kwake atalazimika kukodi...
Wa kwako ndio utumbo zaidi. Uhuru wa kuabudu hauna maana ya kanisa kuunga mkono mafundisho potofu. Kanisa Katoliki linaamini kuwa kinachofanywa na akina Mwaposaya and the like ni upotofu. So haliwezi kuacha waumini wake wakimbilie kwenye imani potofu. Wanachoweza kufanya wale wanaoona Mwamposya...
Nyie wanasheria wa darasani bwana! Halima Mdee hakufanya matendo yale ya kihuni kama mwenyekiti wa Bawacha, alifanya kama mwanachama wa Chadema, halafu unataka ashughulikiwe kama mwenyekiti wa Bawacha? Haya mapungufu unayoyaonesha hapa nadhani ni kwa vile elimu yako ya sheria "haijaboreshwa"...
Kuanzia ulipotangaza kuwa Kada wa CCM huna haja ya kutuambia kuwa hujafikiria kuanzisha movement yoyote, tuambie tu kwamba huwezi kabisa kuthubutu kufanya jambo kama hilo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.