Recent content by CELLO

  1. C

    Hongereni CHADEMA UDOM kwa kupata uongozi mpya

    hongereni sana makanda nimefurahishwa sana na uteuzi wa kamnda mwakibinga na kamanda kawiche pigeni kazi makamanda
  2. C

    Kimenuka udom

    Hebu soma bila kukurupuka mkuu sijasema bunge ndio limechunguza nimesema kamati iliyoundwa na bunge.
  3. C

    Kimenuka udom

    Ndugu wana jamvi kuna taarifa zilizonifikia kutoka vyazo mbali mbali vya habari kutoka chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) Kitivo cha lugha na sayansi za jamii kuwa kuna mgogoro unaofukuta ndani ya serikali ya wanafunzi(UDOSO) katika kitivo hicho,unaoweza kusababisha kuanguka kwa serikali hiyo.Vyanzo...
  4. C

    Mwigulu na uongo wa mkutano wa Calfornia U.S.A ; ahutubia watu 16

    Mambo mengine bhana! ni ya kijinga sana, eti unaenda kufungua tawi la ccm Marekani.Naomba niambiwe tawi la Repablican au Democrat hapa Tanzania liko wapi.Mtu anatumia mamilioni ya fedha kufanyia mambo ya kijinga Marekani alafu tunarudi tena kwao kuomba msaada.Kuna zahanati zinahitaji Tsh milion...
  5. C

    CCM ni chama cha binadamu

    By monja: tatizo si kula na maskini tatizo ninamna gani serikali ya ccm inaweza kuwasaidia kuondokana na umaskini.Huko ni kujikomba, ccm walituahidi maisha bora kwa kila mtanzania na wala si kula na sisi maskini.
  6. C

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    By Cello; usishangae sana hawa ndo viongozi wa ccm,akili zao ndo za namna kama hiyo.
  7. C

    Nape na Mwigulu ni aibu ya Mkoa wa Singida na Taifa

    kweli ccm ni vilaza eti mtu kama mwigulu au nape ndo watetezi wao kwa njia haramu na alali,kwa hoja gani walizonazo?
  8. C

    Serikali corrupt haikusanyi kodi inapenda kudeal na mambo ya kijinga kijinga tu!!

    Kweli ndugu ccm na serikali yao ni dhaifu
  9. C

    Mwigulu Nchemba aagwa Iramba Magharibi

    kama na nchemba anataka uraisi basi ni bora mbwa atawale nchi hii sio nchemba. Tahiliso tulisha kuambia ujinga wako na sifa za kijinga ndo zinakufanya tukuchukie kama unabisha nenda udom,udsm au saut uone cha moto.eti first class wangapi tunazo na serikali yako isiyo na dira haitupi ajira? Ajira...
  10. C

    Kanuni hii ndio imemtimua Mbowe bungeni - Ndungai yupo sahihi

    by cello; laiti ungejua hamy-d(mwigulu nchemba)jinsi sisi vijana wa tahiliso tunavyokuchukia kwa ujinga na uropokaji wako! Ungekaa kimya tu wewe siasa ulibaka tu huna sifa ya kuwa mwanasiasa
Back
Top Bottom