Habari zenu jamani,
mm ni mwanamke ninaeishi na vvu najitokeza kutafuta mchumba ambae pia anaishi na vvu miaka yangu ni 32,mkristo,nimeajiriwa na nimeikubali hali yangu,huyo atakeijitokeza awe na miaka zaidi ya 30,mkristo,amejiajiri au ameajiriwa.aliye tayari ani pm.
naomba msininyanyapae...