Kwa kuwaokoa watoto wa masikini ambao tulidhani mkopo wa elimu ya juu ni mkombozi kwa kupata mkopo sasa ni kilio kila kina baada ya mwaamko wa kurejesha mkopo kuwa mchungu kama siyo jipu uchungu.
Retention fee na penalty ni piga kwa Wanafunzi wote waliopata mkopo HESLB ambaye inatozwa 6% mara...
Ndugu Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mhe.Paul Makonda na Mkuu wa Mkoa wa DSM siamini kama hamujawahi pita barabara ya Mwananyamala kutokea Victoria....Sehemu iliyoharibika kupindukia ni hapa sokoni.
Kwa faidi ya wagonjwa naomba barabara itengenezwe haraka xana hata kwa kuweka kifusi cha mawe matupu...
Ndugu Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,Mhe.Paul Makonda na Mkuu wa Mkoa wa DSM siamini kama hamujawahi pita barabara ya Mwananyamala kutokea Victoria....Sehemu iliyoharibika kupindukia ni hapa sokoni.
Kwa faidi ya wagonjwa naomba barabara itengenezwe haraka xana hata kwa kuweka kifusi cha mawe matupu...
Ili malengo na kasi ya mabadiliko itimie ni vema hii wizara akaisimamia mwenyewe mkuu wa Nchi. ...
We need a Zero loss on Revenue from TRA and our president is capable to monitor it....
Hawa watu ni wazalendo kwelikweli....wakipewa nafasi za wizara nyeti hasa uchumi na viwanda TZ itapaa na kuwa 5 bora Afrika.
Nchi hii ina kula kitu kasoro uongozi bora wenye tija ya mapinduzi ktk uchumi.
Pia yule kijana Polepole apewe nafasi nyeti katika chama ili kuweka misingi bora ya chama.
Mbunge msomi aliyebobea katika uhandisi,Eng.Gerson Lwenge amefanikiwa kulitetea jimbo la WANGING'OMBE ambako kwa kipindi cha miaka mitano iliopita aliweza kulibadilisha jimbo kwa kasi ya maendeleo ikiwa na kuharakisha mitandao iliyo bora ya barabara ndani ya wilaya mpya ya WANGING'OMBE...
Tuwe waungwana japo kidogo....Dr.Slaa alistahili kugombea Urais hata kama LOWASA kajiunga na CHADEMA,kwanza bado mgeni katka chama chenu hata wiki hajamaliza.
Sidhani kama Dr.Slaa ni mjinga kiasi hicho asijuwe hila zilizotumika kumuengua?
Hiyo ni laana mbaya sana....naamini Dr.Slaa angeleta...
hahaaa ...CCM imejenga choo cha nje sasa hivi kinaitwa UKAWA ndiyo unasikia tunaflash uchafu huko,vumilieni basi ...tunatunza mazingira kama tulivyo wa kijana "KEEP US GREEN and DUMP ALL CABBAGES in UKAWA SEPTIC TANK"''
Sasa ni kampeni mwanzo mwisho....CCM...
Prof.Tibaijuka alikili kosa tena mbele ya watanzania kuwa kapewa zawadi lakini CCM ikasema huo siyo utaratibu lazima awajibishwe....Lakini huyo anayeongopa mchana kweupe ati mamlaka za juu zilikataa ni UONGO na UNAFIKI toka lini KATIBU MKUU tena wa wizara akawa juu ya WAZIRI MKUU...
bora CCM kuna juhudi za kuondoa UCHAFU kuliko ukawa inayolala na UCHAFU nakuomba WACHAFU waingie kwenye damu ya CHAMA.....
Tuliwaambie CHADEMA ni mali ya mtu BINAFSI mlikaidi...leo muona kwa macho lakini kwa vile ni akina TOMASO subiri neema ya MUNGU iwafunue:A S-cry::A S-cry::A S-cry::A...
Rai kwa wanachama wa CCM,bado kuna watu hawaamini kama CCM inafanya mapinduzi katika kuwatimua au kuwakata mafisadi wote ambao hawataki kuacha tabia ovu ,ya dhuluma na uchu wa madaraka.
Tukisema no ni big "NO"....ni heri CCM ibaki na wanachama Mil.5.5....kuliko nyie lak5 mnahongwa na kupoteza...
Hii ndiyo siasa kuwa sihasa,No Lowasa without RA and the vice versa is true as per Newton's 1st Law of Force.
Undercarpet,RA is already a member of CDM whether u like it on not...,that's why we call him the king maker of EA.
CCM itashinda lakini kwa taabu maana Lowasa kwacha mapandikiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.