kusoma kuwashinde haya na picha nazo mnabishia? ukisema tupitie pics za kila mkutano wa wagombea wanapoomba kura kwa wananchi utakuta Magufuli anaongoza. tena na watu wanavaa sare kabisa wakimanisha ni wanachama sahihi ndani ya 90% iliyosemwa. #HapaKaziTu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.