Recent content by Cavill

  1. Cavill

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Sasa hapa ndo machozi yamenibubujika haswa, Mungu akubariki sana we Mama, majina na id zetu zinaweza kuwa za mchongo ila maombi yetu hua ni ya kweli Moja ya Viongozi wanaonifanya nijiskie fahari kuwa Mwanachama wa Chama. Unaupiga mwingi alafu kwa kasi ya ajabu!
  2. Cavill

    Ogopa sana aina ya watu wanaozungumza na kila mtu

    Unachanganya madesa Mkuu.. Usimuamini kila mtu, hii haimaanishi we ni mnafiki, hapana! Inamaanisha unaelewa namna akili za watu zinavyofanya kazi.. na unatambua kwamba hakuna alie sahihi 100% na wew ukiwemo.. Ila Wewe ndo unajua unataka nini kwa wakati gani na kwanini.. sasa hebu nambie kipi...
  3. Cavill

    Ogopa sana aina ya watu wanaozungumza na kila mtu

    Nope! Sio kweli Kuna watu wana emotional Quotient ya hali ya juu sana yaan anaweza kuwa hakubaliani na mitazamo ama mwenendo wako wa maisha ila still akawa anaongea na wewe vizuri tu. Ukiweza kudhibiti hisia zako na ukiwa na uelewa mkubwa wa mambo utatambua kwamba kila mtu analo la kukufunza...
  4. Cavill

    KERO Watumishi Hospitali ya Benjamini Mkapa tunakatwa stahiki zetu bila maelezo

    We ungekua umeajiriwa kama Mwalimu nahisi saizi ungekua ushajinyonga kabisa.. Kuna kazi bila wito haziendi, ukitanguliza maslahi hautakua tofauti na israel mtoa roho.. imagine aliegundua Panadol angekua na akili kama zako? Kidonge kimoja kingekua buku!! Fanya kazi kwa Moyo na wito!! Huwezi kuwa...
  5. Cavill

    [Siri yingi] Nauza kitabu Cha Henoko Cha kiswahili (bibilia hakipo) Bei 5000

    Elezea hata kidogo mnunuaji atafaidika na nini umo.. alafu enoko ni wengi Ukute ni kitabu cha Enoko yule muuza vifaranga chotara pale Kimala.. utuingize mkenge maniga!! More Detailz mzee
  6. Cavill

    Rais Samia akumbushia kuhusu mapandikizi ya uongozi kwa uwezeshaji wa watu wa nje

    Oya! Amani ni jambo la msingi, Raisi wetu yupo sahihi.. Tanzania ipo salama chini ya Uongozi wake huku uswahilini life linaendelea kama kawaida, wenye mishemishe wanaingiza kama kawaida wazembe nao wanaotea za hapa na pale.. usalama ni full ukiiba wala kudhuru polisi wanakushenyenta in no time...
  7. Cavill

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    Endelea kukaza fuvu, unatumia akili kubwa na muda mwingi kwenye vitu vidogo visivyo na msingi Sijui kama wazungu wangekua wanapoteza muda na mambo ya kiarabu leo tungekua tunabishana kwa namna gani… maana hao wavaa uchi na mashoga ndo tunawategemea kwa kila kitu.. wale wenye utamaduni safi...
  8. Cavill

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    Yaan Mwili una viungo viiiiiingi ila we uchi ndo umeona ndo wa muhimu sana Jomba!! Tatizo kuto kusoma elimu ya duniani ndomana hata kitabu tukufu vya maana mmeona ni ngono tu sijui mabikira 72 wenye macho kama…… nyambaf!! Yaan Mtume alipigana mpaka na malaika ili kuandika maneno ya kheri ila...
  9. Cavill

    Uislam ndio dini pekee ambayo wanawake huvaa kwa kujisitiri kama Bikira Maria, Wakristo wengi wapo NUSU UCHI

    Wazee wa kabila lako kabla ya ukoloni walikua wanatembea Uchi na wengine wakijistiri Ngozi za wanyama.. hivi wao Watakua Motoni ama?? Ukikua utaelewa kwamba Dini na imani ni vitu vya akilini.. ukivihamishia mwilini vitakugeuza mtumwa wa Hiari na si ajabu ukalikosa Lengo kuu la hiko...
  10. Cavill

    Walimwengu ninechanganyikiwa; Nimezifuma meseji za mpenzi wangu akimuomba jamaa amuoe kwa kutumia vocha yangu!!

    Relax, there is a fine line between sense and sense less and that line get more less and less when u get more sense!
  11. Cavill

    Walimwengu ninechanganyikiwa; Nimezifuma meseji za mpenzi wangu akimuomba jamaa amuoe kwa kutumia vocha yangu!!

    Piga nyeto.. ndo tiba mujarabu Ukianza kuwaza usaliti wake piga nyeto.. moyo ukianza kuumia piga nyeto.. timua hiyo Pepopunda then anza kupiga nyeto.. Ujue most of our problems are 90% psychological and 10% physical, and most of our physical problems are 99% chemical and <1% Psychological...
  12. Cavill

    RC Kilimanjaro: Nilivaa kanzu na kofia, wahudumu hospitali ya Mawenzi hawakunitambua, nikasubiria huduma kwa saa tatu ikabidi nianzishe fujo

    Kama Haulipwi Vizuri acha Kazi katafute Wanapo lipa Vizuri, Ajira kwenye taasisi za Umma haswa nchi za kijamaa hua zinatanguliwa na wito, then uzalendo alafu ndo maslahi binafsi.. Tatizo wabongo Serikali ya CCM inatuhurumia sana na kutudekeza.. nchi kama China hapo kuna watu saizi wangekua...
  13. Cavill

    Kijana ukitegemea tu akili za darasani utafeli maisha vibaya

    Hizi nyuzi za dizaini hii hua zimekaa kiwaki Sana na ndo zinasababisha vijana waone darasani hakuna maana sababu ya mabush loya mnaojikuta malejendali wa hustle za mtaa! Msiwapanikishe madogo maana asilimia kubwa ya hizo akili za mtaa mnazoringiaga hua ni dili feki feki ama haramu. Sasa dogo...
  14. Cavill

    Nitaijibu Barua Ya Kujiuzulu ya Humphrey Polepole kwa Hoja Nzito na kuonyesha Unafiki wake na wale wanaomtumia kumyumbisha Rais Samia

    Kama Muhanga Wa Ajira wa Muda mrefu naunga mkono bandiko lako Lucas Mwashambwa, Mama kawafikia vijana na kuna wengine isingekua awamu yake hii huenda ajira tungekua tunazisikia redioni tu Hakuna uongozi unaweza kutosheleza matakwa ya kila mtu ila huu wa Huyu Mama yetu ni nafuu na unaleta...
  15. Cavill

    Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa

    Serikali inapotoa maelekezo muwe mnazingatia, kwenye utumishi wa Umma hakunaga kitu kinachoitwa “majaribio” ni maelekezo to utendaji. Wasiliana na Afisa utumishi wa Wilaya aone namna ya kukusaidia. Mfumo ulishafanyiwa Majaribio zamani sana na ukaonekana unafaa saizi upo katika maboresho zaidi...
Back
Top Bottom