Recent content by Cataliyya

  1. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi haya kero nishaurini

    Yaani ni zee moja hivi halina aibu limejibanza ofisini moja hivi ya shirika la dini baada ya kustaaf TRA
  2. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi haya kero nishaurini

    Nachotaka tukiwa kazini mapenzi tuweke kando tufanye kazi kwa amani sasa hatua ya mpaka kutoagana
  3. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi haya kero nishaurini

    Habari wapendwa, Mimi (miaka 32) nimetokea kua na mahusiano na mbaba mmoja hivi hapa ofisini (yupo kwenye miaka 65 hivi) pia hua ananipaga vijisent vya matumizi. Sasa hapa ofisini kuna mdada huwa anajipitisha pitisha kwa huyu mbaba pia naona wapo karibu. Sasa Jana kama kawaida yetu akataka...
  4. Cataliyya

    JamiiForums Tanzania Natafuta dawa za asili za kutibu wasiwasi

    Mh konyagi ikiisha si unarudi palepale mkuu?
  5. Cataliyya

    JamiiForums Tanzania Natafuta dawa za asili za kutibu wasiwasi

    Bado mkuu
  6. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anataka kunipeleka ustawi wa jamii

    ha ha ha
  7. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta msaada ustawi wa jamii

    Amina asante
  8. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta msaada ustawi wa jamii

    Ok asante
  9. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta msaada ustawi wa jamii

    Ok asante bt si mpaka jumatatu mkuu
  10. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta msaada ustawi wa jamii

    Wilaya ya kinondoni
  11. Cataliyya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta msaada ustawi wa jamii

    Habari wana jamii forum, nimepatwa na tatizo la kifamilia na ni urgent naitaji ushauri, mwenye kujua mawasiliano au mtu yeyote wa ustawi wa jamii naomba unipm tafadhali
  12. Cataliyya

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Nashukuru kwa maoni yenu. Vitu ntanunua soko kuu ntadamka, ntajitahidi kuweka viungo mfano binzari,nazi, ntazingatia usafi, uchangamfu, customer care msijali dada yupo vizuri kwenye hilo anafaham vizuri haya mambo, ntafanya projection kujua sahani zinazotoka ktk kila kilo, mimi ntakuepo jumamosi...
  13. Cataliyya

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    ULIANGUKIA PUA coz hukuwa makini, huyo dada ni mwaminifu ntamwachia kila kitu afanye yeye na bila yeye hamna biashara hapo, namfaham vizuri
  14. Cataliyya

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Ntazingatia mkuu
  15. Cataliyya

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

    Sawa shangazi yako alikua na biashara yake akafilisika but ulitakiwa uone shangazi yako kama akimfanyia mtu biashara anaifanyaje, sio ya kwake
Back
Top Bottom