Recent content by CASTRO PEMBA

  1. C

    Bulembo ahatarisha amani ya nchi, achukuliwe hatua!

    Juzi katika mkutano wa kampeni wa ccm mkoani tabora, BULEMBO, amesisitiza kua katu,hawawez kutoa IKULU kwa wapinzani"
  2. C

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Ukawa naomba mkemee tafiti hz, zina athari kubwa kwa ambao hawajitambui, msipuuze.
  3. C

    CCM: Magufuli yupo tayari kwa Midahalo; tuna kila dalili ya Ushindi

    Hivi karibuni UV-CCM walitoa majibu ya tafiti na kudai kua watashnd kw 85%, leo makamba anasema 65.3%, huu ni uongo.aibu
  4. C

    Tumewaambia hamsikii; tumewaomba hamtaki; sasa tunawatisha na 'kuwakomfyuzi'

    Mzee tupatupa umeongea vizur sana, tena kwa uwaz, mikoani wanaamini uongo wenu kua itakua kama libya, kura zote kwa magu
  5. C

    Tumewaambia hamsikii; tumewaomba hamtaki; sasa tunawatisha na 'kuwakomfyuzi'

    Mzee tupatupa umeongea vizur sana, tena kwa uwaz, mikoani wanaamini uongo wenu kua itakua kama libya, kura zote kwa magu
  6. C

    Katiba hapa hitimisho

    Suala la katiba linatosha kuwaondoa ccm madarakani!
  7. C

    Nimepata picha, kwanini CCM ilimtosa Sumaye kwa miaka 10

    Sumaye alikonga nyoyo za wana UKAWA, alieleza kwa kina na aliahd atayasema mengi siku zijazo!
  8. C

    Nimepata picha, kwanini CCM ilimtosa Sumaye kwa miaka 10

    ufisadi uliofichwa katka mgao wa Rugemalia ulienda wapi? mbona hawasemi?
  9. C

    Nimepata picha, kwanini CCM ilimtosa Sumaye kwa miaka 10

    Vichwa vya reli, ununuz wa ferry boat mbovu, ufisadi wa bil mia 9, kafafanua kua Lowasa aliwajibika kumnusuru Kikwete!
  10. C

    Nimepata picha, kwanini CCM ilimtosa Sumaye kwa miaka 10

    Sumaye alitumia mda mwingi kuliko viongoz wote wa UKAWA, aliuliza, mgao wa ESCROW lowasa alikuemo?
  11. C

    Lowassa kuzungumza na Wanawake wa Dar es Salaam tarehe 27/8/2015

    Halima mdee amethibitisha kuwep kw mkutano kati ya lowasa na wanawake wa jj la dar, ni ktk ukumbi wa Ubungo plaza.
  12. C

    Hatimaye Lawrence Masha apata dhamana

    Pole sana kamanda masha, tupo nawe ktk kpnd hk kigumu.
  13. C

    Polisi wazuia ziara ya Edward Lowassa, Kariakoo. Wapiga marufuku mgombea kupanda daladala

    Mi nikisema ntaambiwa nachochea vurugu, lakin kaen mkijua Polic na ccm wanaiweka aman ya nchi rehani"
  14. C

    Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

    Majibu ya polisi yanatabirika, watasema alivamiwa na vijana wa UKAWA' Subirini tuone.
  15. C

    Dr. Shein ashindwa kujibu swali aliloulizwa, aahidi atajibu muda ukifika

    maalim seif, alijibu kua"mm nitakua wa kwanza kumpongeza Dr shein, kama uchaguz utakua huru na wa haki.
Back
Top Bottom