anway sijui mambo ya satelite.
Kwahiyo satelite inasetiwa kuzunguka eneo hilo hilo moja la dunia parallel?.
Na maanisha kama inamulika TZ bas inakimbia huku inaangaliaa TZ na pia dunia inajizungusha huku inaendelea kuivuta satelite kuendelea kuimulika Tanzania?
Umesema kasi ndio inasaidia isidondoke, kwahiyo zinapoharibika na kufa (hazina kasi tena) nategemea kwa haraka zivutwe na gravity na kuanguka dunuani.
Na zikifika atmosphere kwnn zinaungua wakat ndio zilitakiwa kupeperushwa na hewa na kuvutwa dunian kwa haraka?.
Ni kipindi kigumu sana .
Hasa kama uko mjini na unategemea mshahara wako ulipie kodi chakula na gharama nyingne za maisha.
Maisha yatayumba , utashuka kiuchum. Na Kama una asset utauza.
all in all. Hautakufa. Utaishi na utanyanyuka tena.
na this time utakuwa bora zaid.
Cha muhimu kwenye kipind...
Nchi ya Tanzania ina Satelite yake?.
Kwanini salelite hazitoroki kwenye mfumo wake.
kwanini hizo satelite zilizokufa hazidondok duniani?. Wakat zinakuwa hazina kasi kuhimili gravity ya dunia
Ahsante mkuu. Maisha lazima yaendelee.
Ajanta ni habar nyingne.
Vitu vya zaman vilitengenezwa kwa uimara sana. Hata rang zake hazichubuk kirahisi.
Hiyo ajanta ni betri tu sijaweka. Ila nikiweka kila kitu kiko sawa.
Unaona hata Mishale yake bado haijapata kutu.
Umetaja Ajanta . Umenikumbusha marehemu Baba yangu(RIP Dad).
Kitu pekee nilichorithi kutoka kwake ni saa ya Ajanta.
alifariki nikiwa na 6 yrs.
Ndugu wakatapeli mali zote. Zikabak nguo na vitu baadh.
Mm nikapewa saa. Anyway Naitunza.
Nilipewa 1996.
30 yrs now
Iko ukutan Chumban kwangu.
Inabidi ujipambanie sana . Uwe na maisha mazuri na kumudu kuwatunza watoto wako .
kupambana mwenyewe bila mwanaume its not a joke.
Nimeona kwa wanawake wengi...
Na weng wanajutia hasa wakifika umri ambao hawawez kurud nyuma kusawazisha .
Najua ushasema Mwanaume kwako hawez kukusumbua kichwa. Na ws ni team kataa ndoa.😊😊😊😊
Ila % kubwa ya wanaoenda Kanisan ni wanawake. pamoja na mambo mengine ila suala la mahusiano lipo pia na wanalipa kipaumbele.
Ukute kile kipindi Mwanamke anakibiashara chake alaf awe anatafuta Mume na tena anataman Mume mwenye Hela.😊😊😊😊
Ataanzia kwa Masheikh asomewe dua, akiona hapaeleweki. Ataenda kwa waganga apewe dawa za kuoga na baadae ataenda kwa Mwamposa akanunue maji na mafuta.
na hawa ni wanawake wa kiislam...
Ukikua utajua kuwa. Binadamu anatafuta suluhisho la matatizo yake sehem mbali mbali,
Haijalishi yeye ni dini gan.
Kuna wakristo wanakubali kuombewa dua na masheikh ili mambo yao yanyoke.
Kuna waislam weengi tu wanatumia maji na mafuta ya mwamposa kwenye biashara zao na baadae wanafunga duka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.