Recent content by Castle_Lite

  1. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

    😊😊😊😊 Kuna watu wanavaa boxer mda mrefu kias kwamba akiivua inabaki imesimama vile vile kama imevaliwa. Boxer kavuuu. Ngumu balaa.
  2. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

    Ina maana kulikuwa na watu wengne?. Nje ya Eden?.
  3. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

    Okay sawa. Unataka kuniambia baada ya Abel kuuliwa . Ilichukua Miaka Ming mpaka Kain alivyofukuzwa na kwenda Nodi?. Haya. Sasa nenda Mwanzo 6. Kuanzia Mstar 1. Hao watoto wa Kiume wa Mungu ni wakina nani?. Ambao walizaa na Wanawake wa Kibinadamu?. hao wana wa Mungu wa Kiume, walikuwa...
  4. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

    Kaini ni wa kwanza kuzaliwa. Na Seth alizaliwa baada ya kuuliwa kwa Abel. Seth ni mtoto wa tatu. Ina maana hapa baada tu ya kuuliwa Abeli. Hakukuwa na mtoto mwingne wa Adam zaid ya Kaini. Sasa why Kaini aogope Kuuliwa akitoka nje ya Eden? Mwanzo 4 :15 15Lakini Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sivyo...
  5. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

    Kaini alivyokuwa anatoka Eden. Alisema anaogopa kuuliwa. je alikuwa anaogopa kuuliwa na kina nani?
  6. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Mtanisamehe kwa hili

    Pengine hapa tulipo tumefika baada ya kujitahidi kwa kadri ya uwezo wetu. Hatuna Elimu kubwa, wala ujuzi mkubwa , hatuna bahat ya kuzaliwa familia bora , tumezaliwa Kijijin huko kwenye shida kibao na ziko hadi leo na pia hatujafanikiwa kupata connection hadi leo., Kaz tunafanya kwa Bidii ila...
  7. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kaini alipata wapi mwanamke wa kuoa?

    Mm nina Hoja. Na naomba tafakar kwa kina. what if kulikuwa na watu wengne nje zaid ya uzao wa Adam?. Nina maanisha Baada ya Kaini kumuua Abeli, akafukuzwa Eden, na Seth akazaliwa. Kaini alivyotoka Eden kwenda nchi ya Nodi. Alisema anaogopa atauliwa. Je alikuwa anaogopa akitoka Nje ya Eden na...
  8. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    exactly hii ndio hoja yangu, Bacteria virus wamethibitishwa kimaabara, na ni karne hizi za 20-21. What if bado hatujafikia level za kuthibitisha uwepo wa Mungu, but Mungu yuko?.kama ilivyochukua miaka kugundua hizo Virus?. Mababu zetu wangeambiwa kwamba kwenye damu kuna Micro organism na...
  9. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Nipe sababu moja ya wewe kutokunywa/kutumia pombe

    siku ukiwa Na bia Kichwan alaf ukanyanduliwa . Utajuta kwann hukuijua mapema 😊😊😊 Kuna Vibia vina taste nzur sana..actually ni Soda. Frying Fish na wenzake. mm siwez date na Fame hanywi bia. 😊😊😊😊
  10. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Je? Majini yako?. Kwa Iman yako hii Unaweza usiseme Jini. Nachotaka kujua Je kuna viumbe ambao hawaonekan?.
  11. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Muanzisha Uzi ame acknowledge Dini. Ameonyesha nafas ya Shetan na kuhoji pengne Shetan hakupendezwa na Binadam kuja duniani. Na amehoji pia pengine ni mpango wa Mungu kumtesa Binadamu. Na amehoji Kuwa watu weng hawaon mantik ya wao kuwepo Dunian. na mm ndio nikaonyesha kuwa Kusudi la binadamu...
  12. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Umejikita kujibu hoja upande wa kidini au? 😊😊😊 Maana Hoja yako umeiweka Kidini lakin naona unajaribu kutumia Sayansi kuikinza. swala kuliwa na Simba tena? . Ulitakaje sasa? 😎😎😎😎 Simba ale nyasi? Au Swala amle Simba?.
  13. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Baada ya Kuumbwa binadamu, Shetan au Lucifer hakupenda. aliona Mungu hajafanya sahihi. Na kwakuwa alikuwa ana heshimika na Malaika wengi. Akaamuru wale Malaika wasimsujudu Mungu ila wamsujudu yeye. Na Mungu alivyojua akakasirika. Kukawa na vita na Shetan akakimbilia Dunian pamoja na malaika...
  14. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Kwasababu Ni Dini. Tujikite huko kwa Dini. Sababu ya Binadamu ni ili aje atawale vyote vilivyotamkwa Na Mungu na Vikawa. Kabla ya Vyote kutamkwa na vikawa , Roho ya Mungu ilitulia juu ya maji. Kukawa na Kiza bila nuru. Akaanza kutamka vitu na mwishon akasema tumfanye Mtu kwa Mfano wetu ili...
  15. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Doooh ww Dini hauijui. Sijui hata nianzie wap kukuelewesha.🤔🤔🤔
Back
Top Bottom