Ni sawa.
Zaman hata mm nilikuwa nasema kama ww.
Ila kwa mentality uliyonayo inabidi utafute hela sana. Na uweze kumaintain kuwa na hela mara kwa mara.
Na pia ukichelewa sana. Hata hizo sehemu hutapata kiwanja kizuri.
Maana kwa sasa bila mill 50+ hupati kiwanja kizur hayo maeneo uliyoyataja.
Nimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza.
Washua wakahamia madale 2005 .
Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?.
Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo.
Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia.
Niko Goba...
Lazima kuwe na mtu aiombe ifanye hiyo kazi.
Maana kila kazi lazima kuwe na purpose. Sasa AI igenerate hizo kazi kwa manufaa gan?. Ya kwake yenyewe? Sidhani.
AI kila kazi azima iombwe.
Ni kweli umegusia Mambo mengi.
Na yote hapo yana Mitazamo tofauti baina ya watu.
Mm ninahoji hapa kwenye kuunganisha Spirit , Soul na Body na AI?
Je siku moja AI inaweza kuwa na spirit?.
AI inaweza kujipangia kazi ya kufanya bila kuombwa ifanye?.
AI itaweza kugenerate codes zake yenyewe na...
Alafu ukiwa unatafuta kazi usiseme huna ujuzi wowote.
Kazi ambazo ziko na zinapatikaa kwa wingi ni za Sales.
Sasa uwe unasema kuwa unaweza kufanya sales and marketing.
Wakikuuliza sales zipi au wapi utasema kuwa ushawah kuuza Duka (liwe la Mangi, nguo au vipodozi), au ushawah kufanya kazi za...
Kuna kipindi unakuwa na Wachumba wengi hadi unatamani wakufumanie wakuache.
Ili uanze upya.
Wapenzi 6 ni wengi sana.
Na bado hao wanawake zako 6 wana wapenz wao wawili wawili nje kwa kila mmoja.
Kwahiyo kwa kifupi kwa idadi ndogo hapo mko kwenye mzunguko wa wanaume karibia 20.
Na kama kuna...
Nimesoma O level pale.
Tumekata gogo sana kule mbuyuni.
Ukirud Bwenini unanukia balaa 😊😊😊😊.
nimekaa Lumumba, shaban robert na form four nikabahatisha chumba Kambarage.
Masandale pale kuna jamaa alikuwa anapika maandazi makubwa balaa.
Tofauti kabisa na Vimbuzi vya Mama Mkojera.
Yale maharage ukichanganya na Mboga za majani yalikuwa yananoga sana .
Au siku ununue vipande vya Digidigi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.