Recent content by Castle_Lite

  1. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Ni sawa. Zaman hata mm nilikuwa nasema kama ww. Ila kwa mentality uliyonayo inabidi utafute hela sana. Na uweze kumaintain kuwa na hela mara kwa mara. Na pia ukichelewa sana. Hata hizo sehemu hutapata kiwanja kizuri. Maana kwa sasa bila mill 50+ hupati kiwanja kizur hayo maeneo uliyoyataja.
  2. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Hapa usizidi 100k. Atleast mshahara mmoja uweze kulipa kodi ya miez 6.
  3. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kulipa kodi kubwa sio sifa

    Nimekulia Majumba sita alafu Mwenge na Sinza. Washua wakahamia madale 2005 . Nikawa nawashangaa hata kama wamejenga. Ila kwanini wasingejenga mjini?. Mm nimeanzia Maisha Kinondoni na Kijitonyama. Na nikawa na mentality kuwa mjini sihami ngo. Ila mbeleni akili za kikubwa zikanijia. Niko Goba...
  4. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Unaichapa halafu unaweka na mate😁

    min -me classmate. Umelewa. Pumzika kupost. Vuta mhudumu mmoja upige nae story. Hakuna namna
  5. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Lazima kuwe na mtu aiombe ifanye hiyo kazi. Maana kila kazi lazima kuwe na purpose. Sasa AI igenerate hizo kazi kwa manufaa gan?. Ya kwake yenyewe? Sidhani. AI kila kazi azima iombwe.
  6. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Nafsi ndio Spirit. Roho ndio Soul. Roho/Soul ndio inaunganisha Nafsi/Spirit na Mwili/Body.
  7. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Ninajua hili. Ila nina maanisha AI huko mbeleni inaweza kujitengenezea code yenyewe bila kuombwa?. Na ikaunda mfumo wake wenyewe?. Ndio Hoja yangu.
  8. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Bila kushusha gharama za UNIT na kuzuiya ukatikaji wa mara kwa mara wa umeme

    Sahihi. Walisema pia watauza Umeme nje ya nchi.
  9. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Nafsi imesahaulika. (a rant).

    Ni kweli umegusia Mambo mengi. Na yote hapo yana Mitazamo tofauti baina ya watu. Mm ninahoji hapa kwenye kuunganisha Spirit , Soul na Body na AI? Je siku moja AI inaweza kuwa na spirit?. AI inaweza kujipangia kazi ya kufanya bila kuombwa ifanye?. AI itaweza kugenerate codes zake yenyewe na...
  10. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, niko Dar Es Salaam

    Alafu ukiwa unatafuta kazi usiseme huna ujuzi wowote. Kazi ambazo ziko na zinapatikaa kwa wingi ni za Sales. Sasa uwe unasema kuwa unaweza kufanya sales and marketing. Wakikuuliza sales zipi au wapi utasema kuwa ushawah kuuza Duka (liwe la Mangi, nguo au vipodozi), au ushawah kufanya kazi za...
  11. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Timu ya taifa ya Soka ya watu wafupi nchini Sudan yajiandaa kwa Kombe la Dunia 2026

    binafsi sijawahi muona Mmasai mbirikimo. Hivi wako?.
  12. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Mahusiano yanakula hela, si mchezo!

    Kuna kipindi unakuwa na Wachumba wengi hadi unatamani wakufumanie wakuache. Ili uanze upya. Wapenzi 6 ni wengi sana. Na bado hao wanawake zako 6 wana wapenz wao wawili wawili nje kwa kila mmoja. Kwahiyo kwa kifupi kwa idadi ndogo hapo mko kwenye mzunguko wa wanaume karibia 20. Na kama kuna...
  13. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Wapare na vituko.

    Nimesoma O level pale. Tumekata gogo sana kule mbuyuni. Ukirud Bwenini unanukia balaa 😊😊😊😊. nimekaa Lumumba, shaban robert na form four nikabahatisha chumba Kambarage.
  14. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Wapare na vituko.

    Masandale pale kuna jamaa alikuwa anapika maandazi makubwa balaa. Tofauti kabisa na Vimbuzi vya Mama Mkojera. Yale maharage ukichanganya na Mboga za majani yalikuwa yananoga sana . Au siku ununue vipande vya Digidigi .
Back
Top Bottom