Recent content by Castle_Lite

  1. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Facts za kushangaza kuhusu satellites zinazozunguka dunia hivi sasa

    anway sijui mambo ya satelite. Kwahiyo satelite inasetiwa kuzunguka eneo hilo hilo moja la dunia parallel?. Na maanisha kama inamulika TZ bas inakimbia huku inaangaliaa TZ na pia dunia inajizungusha huku inaendelea kuivuta satelite kuendelea kuimulika Tanzania?
  2. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Facts za kushangaza kuhusu satellites zinazozunguka dunia hivi sasa

    Umesema kasi ndio inasaidia isidondoke, kwahiyo zinapoharibika na kufa (hazina kasi tena) nategemea kwa haraka zivutwe na gravity na kuanguka dunuani. Na zikifika atmosphere kwnn zinaungua wakat ndio zilitakiwa kupeperushwa na hewa na kuvutwa dunian kwa haraka?.
  3. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Maisha baada ya kufukuzwa kazi

    Ni kipindi kigumu sana . Hasa kama uko mjini na unategemea mshahara wako ulipie kodi chakula na gharama nyingne za maisha. Maisha yatayumba , utashuka kiuchum. Na Kama una asset utauza. all in all. Hautakufa. Utaishi na utanyanyuka tena. na this time utakuwa bora zaid. Cha muhimu kwenye kipind...
  4. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Facts za kushangaza kuhusu satellites zinazozunguka dunia hivi sasa

    Nchi ya Tanzania ina Satelite yake?. Kwanini salelite hazitoroki kwenye mfumo wake. kwanini hizo satelite zilizokufa hazidondok duniani?. Wakat zinakuwa hazina kasi kuhimili gravity ya dunia
  5. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

    Ila bro utakuwa umegonga mabeki tatu weng sana . Umeanza ufuska zaman sana naona 😂😂😂😂😂
  6. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

    Ahsante mkuu. Maisha lazima yaendelee. Ajanta ni habar nyingne. Vitu vya zaman vilitengenezwa kwa uimara sana. Hata rang zake hazichubuk kirahisi. Hiyo ajanta ni betri tu sijaweka. Ila nikiweka kila kitu kiko sawa. Unaona hata Mishale yake bado haijapata kutu.
  7. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Hiki kikombe kina umri wa miaka 20+

    Umetaja Ajanta . Umenikumbusha marehemu Baba yangu(RIP Dad). Kitu pekee nilichorithi kutoka kwake ni saa ya Ajanta. alifariki nikiwa na 6 yrs. Ndugu wakatapeli mali zote. Zikabak nguo na vitu baadh. Mm nikapewa saa. Anyway Naitunza. Nilipewa 1996. 30 yrs now Iko ukutan Chumban kwangu.
  8. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Naona kabisa utamuharibia Uvulana wake chai ya rangi 😂😂😂😂.
  9. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    tunaongelea miaka 10+. Utakuwa na watoto. Maamuzi yako leo ni matokeo ya kesho.
  10. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Inabidi ujipambanie sana . Uwe na maisha mazuri na kumudu kuwatunza watoto wako . kupambana mwenyewe bila mwanaume its not a joke. Nimeona kwa wanawake wengi... Na weng wanajutia hasa wakifika umri ambao hawawez kurud nyuma kusawazisha .
  11. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Nipo na kobazi zangu naenda masjid

    Khair Mubarak. Ila leo wanyama wamechinjwa sana. Tunaomba mualiko 😊😊😊😊
  12. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Najua ushasema Mwanaume kwako hawez kukusumbua kichwa. Na ws ni team kataa ndoa.😊😊😊😊 Ila % kubwa ya wanaoenda Kanisan ni wanawake. pamoja na mambo mengine ila suala la mahusiano lipo pia na wanalipa kipaumbele.
  13. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Ww hujawah kumuomba Mungu akupe mwanaume sahihi?. Au akukutanishe na mahusiano sahihi? Akepushe na magonjwa yatokanayo na Ngono?.
  14. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Ukute kile kipindi Mwanamke anakibiashara chake alaf awe anatafuta Mume na tena anataman Mume mwenye Hela.😊😊😊😊 Ataanzia kwa Masheikh asomewe dua, akiona hapaeleweki. Ataenda kwa waganga apewe dawa za kuoga na baadae ataenda kwa Mwamposa akanunue maji na mafuta. na hawa ni wanawake wa kiislam...
  15. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu hawajifunzi! Alikuja Kakobe, akawatapeli akatajirika, akawatosa. Akaja T B Joshua. Leo amekuja Mwamposa, anawatapeli, bado hawajashituka!

    Ukikua utajua kuwa. Binadamu anatafuta suluhisho la matatizo yake sehem mbali mbali, Haijalishi yeye ni dini gan. Kuna wakristo wanakubali kuombewa dua na masheikh ili mambo yao yanyoke. Kuna waislam weengi tu wanatumia maji na mafuta ya mwamposa kwenye biashara zao na baadae wanafunga duka...
Back
Top Bottom