Mwanaume utafute hela kwaa shida.
Uumie, jasho damu zikutoke.
Alaf ukipata hizo hela uende kwa mwanamke umbembeleze na mle nae.
Kha! Mwanamke amuheshimu sana Mwanaume na mwanaume ampende na kumjali mwanamke.
Mm hiyo kubembeleza naona ni tasfiri nyingine kwangu.
Tunaahitaj kuheshimiwa sana.
Hii story inakuhusu ww.
Anyway...
Kwanza soja umekamatika. Sio mbaya lakin, ni kawaida kutokea.
Wasichana wa chuo weng ni waona fursa, na watafanya chochote kwa mwanaume ambaye wanahisi atawapa hizo fursa/kukidhi mahitaji yao ya kifedha.
Na je ni kweli umepanga kumnunulia hiyo iphone macho 3...
Kila siku napita hili eneo. Juzi tu nimetoka kusema hili ghorofa, mm siliamin kabisaa.
Iko hivi.
Hilo jengo lillianza kuinuliwa kuwa ghorofa wiki 2 zilizopita. Awali mchoro ulikuwa ni fremu za kawaida kama fremu nyingine barabarani. Sasa wiki 4 nyuma naona wakaweka bim, ambayo ina inchi 12...
Hakuna cha kuacha hapo.
Ila kama kazi umepangiwa mbali na nyumban.
Ww nenda, fanya kazi Papaa.
Aftermath baada ya hapo ni majaliwa.
Kwasababu inazingatia uaminifu wa wote wawili mke na mume.
Ila kama umeshaoa na umepata kaz mbali na unawaza hivi, ww ndio utaanza kuwa tatizo.
Kila la kheri....
Hoja yako ni nzuri na pia ni fikirishi.
Naungana na ww. Adhabu hiyo ni kandamizi kwa mwanaume.
Kama hoja ni kumuhadaa/kumlaghai mtoto wa kike. Basi Mm nadhan wangeweka sheria. Na Kuhukumu huyo aliyempa Mimba kulingana na Miaka aliyonayo.
Kijana wa miaka 20(hana pesa, hata kaz ya kuunga unga)...
Hawa Polisi wa Goba ndio zao.
Huyo Majuto anaweza akakukuta usiku . Akakubeba na akaenda kukupa kichapo ili ukiri kuwa ww ni Mwizi. Umeiba let say TV Na ukishakiri anakuridisha Lockup. Unapigia ndugu zako waje kukutoa kwa hela.
Hajaanza Leo. Anasifika sana kwa skendo za namna hii.
Alaf Raia...
Aisee.
Mambo yako hayo hayataisha.
Wanaume tumeumbiwa Tamaa, toka enzi na enzi.
Tunachofanya sikuhizi ni ustaarabu na kuita kuelimika. Kuwa ni vema kuwa na mke mmoja na usichepuke.
Wenye Iman ,Dini na maadili mema wanaweza.
Na wanaoa mapema kabisa ili wajenge familia.
Sasa ww na 34 yako...
Kumpata mwanamke unayempenda na akapenda mtoto wako huyo pia sio kazi rahisi.
Kumuacha huyo Mwanamke kwasababu hiyo tu pia sio rahisi.
Ukikaa ukiongea nae . Atajitetea na atasema atajirekebisha.
Ila upendo unatoka moyon na hauwez kulazimishwa, ni dhahiri mwanao hapendwi kama unavyotaka ww...
Pole sana na changamoto Single Father.
Aisee, Dalili zimeonekana mapema sana. Ni mbaya.
Unaweza ukazaa na huyo mdada na mkawa na watoto wawili , alaf huyo mkubwa akanyanyapaliwa.
Wako Wamama wanaopenda watoto zao wa Kambo na wanawalea mpaka mtoto anadhan kuwa huyo ndio Mama yake halisi.
Ila...
Una point , ila umeangalia sana upande mmoja.
Mifano uliyotoa iko sawa, ila pia ni kwa upande mmoja.
Naona pia hujui tofauti kati ya biashara na mjasiriamali.
Ni kweli kufanikiwa kama mfanyabiashara inahitaji hayo uliyosema.
Ila kufanikiwa kama mjasiriamali inahitaj zaid na zaid ya hayo...
Aisee pole na majanga Papaa.
Pamoja na hayo, ni vyema kujua sababu gan hasa zilisababisha huyo bibie kusaliti mahusiano.
Ukishagundua sababu.
Then unaangalia, je kosa ni upande wako au ni ushenzi wake tu.
Kama ni ushenzi wake, then unamtema. Maana tabia sio rahisi kubadilika.
Kama ni kosa...
Unaongea kwa sababu bado ni mdogo.
Kuoa nadhan no jambo zuri.
Kuna majanga kama hayo hutokea, ila sio kwa kila mtu.
Hata barabaran kuna ajali za magar kila uchwao ila watu hawaachi kuendesha magari.
Sababu hii uliyoitoa haitosh kusema watu wasioe.
Na hulazimishwi kuoa, ila ni muhimu ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.