Recent content by Castle_Lite

  1. Castle_Lite

    Ebu umiza kichwa kidogo?

    Una degree 2?. Umesomea nn na nini?. Una miaka mingap?. Uko wap?.
  2. Castle_Lite

    Ebu umiza kichwa kidogo?

    Elimu pia ifupishwe. Elimu ya Sekondar iwe miaka 4. Mtoto akimaliza aingie kwenye fani na taaluma anayoipenda. Kwa miaka 2 , 3 au 4 na akitoka hapo akiwa ana miaka 18+ awe anafanya kazi. Kule kwao mtoto ana miaka 16 ana degree. Huku hadi 21+.
  3. Castle_Lite

    Ebu umiza kichwa kidogo?

    Mitaala. ngoja tuone hii mipya. Wanafunzi wa Ulaya unafikiri wanasoma Maji maji war. Au kinjekitile gware?. Au Nchi za Afrika zimepata uhuru lini?. Kwanini sisi tunafundisha kuanzia form 1 hadi 6. Ni kukariri tu mambo ya kwao. Unakariri hadi Panzi. Haya umepatia sehem zote za panzi...
  4. Castle_Lite

    Ebu umiza kichwa kidogo?

    Amefundishwa Elimu. Na sio fani. Unaenda mtaan kubishania History na geography. Inakutengenezea hela gani?. Hujui kingine. Hata hujui friji likizima ushike wapi. Hakuna atakayekuheshimu.
  5. Castle_Lite

    Ebu umiza kichwa kidogo?

    Mm sio Mzee. Ila kuna namna naisifu Elimu ya Mkoloni. Kulikuwa na watu wa fani mbalimbali (ufundi stadi) na watu wa taaluma white collar Job. Sasa hapa katikat kama taifa hawakuipa kipaumbele Taaluma ya fani mbalimbali na wakaona fani sio mwelekeo sahihi. Wakaelekeza kwenywe wasomi na...
  6. Castle_Lite

    Jamaa mmoja kaniuliza; Hivi Mtibeli unavyowakandia Wanawake unapataga kweli wanawake? Jibu langu ni hili

    Bro. Unajua Sijanywa bia toka ile ijumaa. Leo muda huu narud home nimechoka balaa, Nikapita nikasikia kaharufu ka bia 😂😂😂😂. Ki-bar Local tu. Ikabid nipark , nakunywa Kili lager baridiiiiii 3 tu za fasta fasta then niunganishe Home. Ndio kwanza namaliza ya kwanza. Aaagh.. 😎😎😎😎
  7. Castle_Lite

    Jamaa mmoja kaniuliza; Hivi Mtibeli unavyowakandia Wanawake unapataga kweli wanawake? Jibu langu ni hili

    Nje ya Mada. Bro, wakat ukiandika Mada kama hizi. Kinywaj gan kinakuwaga mezani kwako?.
  8. Castle_Lite

    Biashara ya Vinywaji vikali

    Kuna meng sana ya kujifunza. Hebu fanya research na home work yako vizuri. Nenda kwa zile depo kubwa . Anza kudodosa. Mdogo mdogo utapata info zitakazokusaidia kwenye Lengo lako. Lakin niulize tu. Why umeamua kuimport? Unahisi brand ngap utaimport?.
  9. Castle_Lite

    Nataka nimpokonye Mwanamke Mtoto(Ni mtoto wa mdogo wangu)

    Baada ya kumshirikisha Mdogo wako anasemaje?. Yaan unawachukua watoto wote wawili na kumuacha mama yao. Unahisi Mama yao atakubali?. Nashaur utafute njia nzur ya kuwasaidia. Wakatie Bima ya afya hao watoto. Na Uwe unatuma chakula kila mwez na kahela kidogo . Waache walelewe na Mama yao. Pia...
  10. Castle_Lite

    Pesa inayopatikana kwa makosa ya barabarani ipelekwe kufanya marekebisho madogo madogo ya barabara!

    😂😂😂 inaingia Hazina. Inapangiwa kazi nyingne. Magufuli alikuwa anakusanya hadi 2.5 Billion kwa mwez . Kwa makosa ya barabara. Hii hela hiyo inaweza kulipa walimu wote waliojaliwa Tanzania . Wa shule ya msingi kwa mwezi.
  11. Castle_Lite

    Posta - Salender (1.8km) ila unakaa masaa 2 kwenye foleni

    Mwendo kasi ni bonge moja la project. Waiboreshe tu. Nasikia wanaleta mwendokas itakayokuwa inapakia wanafunz pekee. Ina muda maalumu. Waweke sehem za parking za magar , kwa kulipia maeneo ya pembezon mwa mji. Unashuka kwa gar yako unapanda mwendo kasi. Watu wa Tegeta Bunju bagamoyo na...
  12. Castle_Lite

    Posta - Salender (1.8km) ila unakaa masaa 2 kwenye foleni

    Hivi Wale walioandika wazo la namna bora ya kupunguza folen jijini Dsm majibu yameshatoka?.
  13. Castle_Lite

    Wanasheria naombeni ushauri kuhusu suala hili

    Mdada atachambwa sana na wale Polisi wa Kike. Ila mwishon atapewa mtoto. Maana mtoto bado mdogo. Hata miaka 2 hana.
  14. Castle_Lite

    Posta - Salender (1.8km) ila unakaa masaa 2 kwenye foleni

    Ww inabidi utafute parking pale Mbezi mwisho. Then ukwee Mwendo kasi. Ukishuka mwendo kas . Unachukua boda to ofisin. Nimeona hizi mpya zina AC . Unakomaa tu hata kwa kusimama. Maana dk 20 umefika Ubungo frm Mbezi.
  15. Castle_Lite

    Wanasheria naombeni ushauri kuhusu suala hili

    Wakaliongelee hili suala Polisi Dawati la Jinsia na watoto. Na Mtoto atatoka baada ya idhini ya mzazi mwenzie. Na idhini itatoka baada ya makubaliano ya namna gan nzur mtoto atalelewa kwa huyo Mama. Hapo ndio wataangalia kama zile sababu za kupelekwa mtoto kwa baba zimetatuliwa au bado. Ila...
Back
Top Bottom