Tutahama mada bro.
Maana najua hautaridhika na jibu na utauliza tena na tena.
awe ameleta au hajaleta.
Awe yuko au hayuko.
Kwangu mm naona ni faida kama nikiamini yuko alaf nisimkute.
hakuna faida. Ila hoja yangu tangu mwanzo ni mtu kuogopa ndoa kwa kisingizia kuwa ndoa nying zina mitafaruku au kuchana au nk.
Maana mtu unaweza ingia na yasiwepo yote hayo.
Ndio haswaa hoja yangu.
Na sio kulazimisha mtu. Mwenyewe mdogo wangu anayenifuata ana 32 yrs wa kiume na hajaoa.
Dont Fear Death.
Utakufa tu uogope au usiogope.
Kwenye ndoa yanaweza kukukuta au yasikukute.
Sasa niogope ndoa kwa kuwaza kuwa yanaweza yakanikuta huko mbeleni?.
Hapana. Hautakiwi uogope.
Likija Suala la Dini.
Ni bora niamini Mungu yuko alaf nikute hayuko.
(Kwanza kuamin inanipa miongozo bora ya kidini ya kuish duniani).
Kuliko kutoamini alaf nikakuta Mungu yuko.
Ni sawa na wakataa ndoa.
Wanasadiki ndoa zote ni mfarakano wakat hawajaingia.
Wakat wanaweza kuingia na kukuta ni...
Kataa ndoa ni kwamba watu wasifunge ndoa.
Na Sio aliyekuwepo kwenye ndoa alaf akatoka nje.
Kukaa bachelor had unazeeka unadhan kuna faida?.
Hata kama ziko ni chache kuliko hasara.
This is it.
Sasa mtu anaogopa ndoa utadhan sijui nini.
Hajawah hata kuoa/kuolewa.
Anasikia mabaya ya ndoa kwa watu kadhaa bas na yeye anaamua kutoingia.
Hawa ni wale kama wangeambiwa wana option 2.
1. Uzaliwe ukue alaf ufe
2. Uamue usizaliwe ili usife.
Wangechagua ya 2. 😂😂😂
Dont fear Death...
Ni sawa.
ila kiustarabu ni muhim kukaa kifamilia. Hata wanyama baadh wenye IQ kubwa kidogo kama Sokwe, tembo wanakaa kifamilia.
Sasa sisi ambao ni Prime tunatakiwa tushikamane zaid.
Yaan una maana uzae na wanawake tofauti na yeye azalishwe na wanaume tofauti?.
Yaan una maana yeye Mwanamke akae na watoto ila ww ukae pekeyako?.
Au na ww utakaa na watoto waliozaliwa na kutunza na upande mmoja?.
Tumweke Mungu pembeni.
Tu-assume kwamba hayuko kama unavyotaka.
Binadam ni mnyam kama mnyama mwingne.
Ila tuna akili na kustaarabika kuliko wanyama wote.
Na ndio maana tukajistiri na nguo na kuwekeana taratibu flan na flan.
Haipendezi kufanya mapenz na kila binadam mwenzako kama wafanyavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.