Pengine hapa tulipo tumefika baada ya kujitahidi kwa kadri ya uwezo wetu.
Hatuna Elimu kubwa, wala ujuzi mkubwa , hatuna bahat ya kuzaliwa familia bora , tumezaliwa Kijijin huko kwenye shida kibao na ziko hadi leo na pia hatujafanikiwa kupata connection hadi leo.,
Kaz tunafanya kwa Bidii ila...