Tafadhali nisaidie mm nilikosea namba ya mtihani wa form 6 kwenye application za helsb sasa nitaweza fanya masahihisho tena ? Nilog in tena?? Na hard copy inatumwa tena baada ya corrections?? Mwenye idea about to do plz nisaidie am realy stuck!
Uwanja umetapika yaani haitakiwi mtu kusimama ukisimama mwenzako ansogea then ukitaka kukaa hupati nafasi unaona peeeeeeeepooozzzzzii??mabadiliko lowasa!lowasa mabadiliko ! Watu wote ni Lowasa !!!
Mpige chini akamate adabu maan ccm wameishajiaminisha kuwa wao nchi hii ndiyo wenye haki kuila wengine no kwa nn? Piga chini mpe bibie bulaya angalau ana heshima na utu. Piiiiiposssss! Lowasa !mabadiliko na mabadiliko Lowa saaaa!
Kwa kuwa muda unaweza kuwabana ukawa kesho na mambo ni mengi bora shamra2 zianze saa 4 asbh ukizingatia kuna wageni wanatambulishwa na kuwapa wajumbe nafasi ya kutoa salaam na burdani. Isiwe kama Ccm walivyoshindwa manage time wakapitilza na kukiuka sheria ya Nec
Ni mcha mungu kweli hawezi pokea rushwa karidhika sana na hana utajiri wowote mali aliyo nayo kaipata kutikana na nafasi alizotumikia Ikulu Hasa safari za nje ya nchi akiwa na JK wakati ameanza za Vasco Dagama
ukawa kupata ushindi lazima Lowasa akae pembeni asigombee awe mwanachama wa kawaida atakuwa amepata muda wa kujijenga ktk chama asubiri 2020. Mabregina usilegeze msimamo mshauri mzee Eddo atulie ktk ccm ili mafao yenu ya upm yaedelee kutolewa na serikali.
Hawezi kushinda wagogo wana hila kama wameishaambiwa kuwa ni tajiri ana nyumba uingereza na wao hawajafaidi kitu watamyima tu kura.bado jirani yake Ndugai naye hoi kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.