Mkuu, kwanza kabisa Wairan yaani waajemi sio Waarabu....hata kiarabu sio lugha yao! Uislamu umepelekwa huko kama ulivyoletwa Tanganyika!
Before Islam, the primary religion of ancient Persia was Zoroastrianism, one of the world's oldest monotheistic faiths founded by the prophet Zarathustra...
ITR: Kwa kifupi inafikirisha, lakini kuna mambo mengi mno nyuma ya pazia jinsi Iran inavyoendesha siasa zake, kama hisia za kidini kupewa kipaumbele katika mambo ambayo akili ambazo kila binadamu tu zinaweza kutumika.
Kumbuka pia Wananchi wa Iran wamegawanyika mno! Si kama tunavyoona kwenye...
Pole Adios.......Dunia itaendelea tu...! Yametokea mengi mno duniani......Vita vya Kwanza....Vita vya Pili....Covid.....Kufa kwa Gadaffi....Osama.......Sembuse huyu Mzee....Usilete vituko hapa!
Wakati mwingine jifunze kuwa kimya Mkuu! Jipe muda wa kutafakari! Unataka kusema Ayatollah Khamain hakujua vita inakuja! Hiyo military machineries alikuwa anadhani ni utani? In short ni kama unasema Iran ni mazezeta!
Tulia kidogo Adiosamigo.....Tafakari labda unaweza kupata njia ya kuwasaidia...
Ngwathra:
"Uzuri miaka 50 ijayo hakutakua na kitu kinaitwa dini ulimwenguni, tunarudi kwenye default settings"
Ipi ni default settings? Mwanadamu ni incurable religious! Lazima aamini kitu fulani! Mababu waliamini chochote kile! Radi, mito, milima! Jua, nk! Mpaka walipopata replacement ya hizo...
Kimsboy: Unajiuliza Mkuu? Jamaa zako wamekuwa possessed na Israel na Amerika! Wakilala "Death to America" "Death to Israel" Wakiamka wimbo nu ni huo huo! Miaka na Miaka! Huu wimbo umewachosha wananchi wake! Unajua ni mamilioni mangapi wamepoteza Kwa Hezbollah? Kwa HAMAS? Syria?Wairan wangapi...
Mfano uliotumia hauleti mantiki, Mwinyi kama Rais halali akapingana na watu, akapeleka makao makuu Mafia inabakia hivyo, yeye ndio serikali ya halali, waliochukua nchi hawana uhalali ila wamejihalalisha tu! Ndivyo ilivyotokea China!
Mkuu Titicomb:
Hebu nipe maelezo kidogo kuhusu Taiwan, kila napoirudia historia huwa naona Taiwan ndio ina haki na Mainland China sio vice versa. Mtazamo wangu ni huu, Chang Kai Shek ndiye alikuwa kiongozi halali wa China na ndio alifanya kazi kubwa mno kuitoa China huko chini ya chama cha...
Mkuu: Jamaa zetu wanaishi kwenye denial, hawana hata nafasi ya kujitathimini tu! October 30 imewashutia mno! Watachukua muda mrefu kurudia katika hali yao!
Una hoja ipi Mwashambwa! Chama chako kilishaishiwa na hoja miaka mingi! Kimebakia kubebwa na Polisi, Katika kandamizi, sheria zilizopitwa na wakati, na wajinga fulani kama wewe!
Kwa macho ya kawaida utaona ni AMANI inagombaniwa, ila kwa taarifa za uhakika kinachopikwa ni Tanzania kuwa Congo ya pili.
CCM inajinadi imekuwa chama imari sana katika kupigania nchi hii! Utadhani ni wao pekee ndio wenye hati miliki ya kuwa wazalendo na kutetea maslahi ya wananchi wake, Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.