Recent content by Casemiro jr

  1. C

    JamiiForums Tanzania Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

    Sawa
  2. C

    JamiiForums Tanzania Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

    Ok Asante kwa ufafanuzi bro
  3. C

    JamiiForums Tanzania Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

    Ok jee ukiwa 6.3 ni bei gan
  4. C

    JamiiForums Tanzania Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

    Kwahiyo huo mshahara n kwa walio step 3 au 1?
  5. C

    JamiiForums Tanzania Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

    Jee take home ni sh. Ngap
  6. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Njoo ww mana ww DM yako haionekani kaka
  7. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mtu gan kaka?
  8. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Nilifatilia nikaambiwa kupo vzr ila kukatokea mabadiliko ya naona ndo mana hali si shwar ila nikaambiwa ni suala la mda tu mambo yatakaa sawa ila jinsi unavyoniambia ww napata picha kuwa no pakavu sana.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Hata hamu ya kwenda inaanza kuisha sasa
  10. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Yan ndo nawaza hapa duh isije nikaenda kushinda njaa kaka
  11. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Duhh aiseee mbona balaa alafu nimeshaomba kibali tayali cha uhamisho
  12. C

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Kwa level ya bachelor anaanza na ngap
  13. C

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Waungwana hii msg hamuioni au
  14. C

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Naomba kuuliza ivi pale bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko (CPB) kwenye kitengo cha planning vp Kuna asali? Na jee salary zao ni ngap?
  15. C

    JamiiForums Tanzania Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Inshu ni kwamba nimeomba kweny mfumo ila nomeaattach na barua ya majibu kama uthibitisho
Back
Top Bottom