Wakuu naombeni ushauri wenu ninataka nikasomee kozi mojawapo kati ya hizo either banking and finance or accounting and finance, ushauri wenu kwenye upande wa ajira/kujiajiri. Nitashukuru sana mkinijibu Ndg zangu kwakua ushauri wenu unamaana kubwa sana kwangu
Sent from my T702 using JamiiForums...
Hii kozi kwa wanaume ipoje Nina tamani kujiunga na hiii kozi ila naogopa nisije nikajikuta mwanaume ni Mimi pekebyangu darasani. Na vipi kwenye ajira wanao pewa kipaombele ni wa Dada au wrote ni sawa??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.