Bro Shirikisha viungo vyako vizuri, 2018 unawaza kumwaga damu? Ishiiiii labda ianze kumwagwa yako kwanza! Unaishi kwenye nchi ya amani na utulivu ndio maana unapata hata muda wa kuposti haya makitu yako.
Mtoa post unaweweseka aisee! Pia unadharau hata kwa Rais kwamba hamjui vizuri mtu aliyemteua unatafuta kick na huruma! Wewe ni sikio la kufa kafie mbaliiiii
[BQUOTE="Kinjekitile junior, post: 28757974, member: 285549"]kuiba nini au na wewe ni mwizi maana mawazo yako yamekaa kiwiziwizi
Bro kuna watu wanawaza negative muda wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.