Recent content by Carlpeters

  1. C

    Bungeni pawaka: KURA YA SIRI vs KURA YA WAZI

    kura kuwa ya siri wasi wasi unatoka wapi???
  2. C

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    Pole familia ya Mabina, ila kujiamini kupita kiasi ndo madhara yake hayo. Nchi hii si mali ya watawala kwa hiyo watu wote wanatakiwa kufuata sheria!
  3. C

    Tanzia- tangazo la msiba

    R.I.P Hatibu. poleni ndungu, jamaa na marafiki.
  4. C

    Mwanaume wa kwanza kwa mwanamke eti ana access muda wowote, hata akiolewa?

    Msanii Password ni key ilotumika siku ya kwanza, kwa hiyo haiwezi sahaulika hivyo vinginevyo key ilikuwa bangaizaji!!
  5. C

    Mtanzania mwingine avamiwa na kuumizwa vibaya huko Nairobi

    Taratibu jamani Wakenya, msejeleta balaa sisi ni majirani.
Back
Top Bottom