Recent content by carlkate

  1. C

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Mazee nimekaza good seven month lakini leo metoa handbrake
  2. C

    Watu wengi husema wahindi ni wabaguzi. Je, ni kweli kundi la watu fulani linaweza kuwa na sifa moja?

    Kama ni kweli kabila gani Tanzania ni wabaguzi ? Dini gani ni wabaguzi ? Chama gani ni wabaguzi ? Rika gani ni wabaguzi ? Wanawake na wanaume nani wabaguzi ? Nk
  3. C

    Moto unabeba nguvu gani za sir

    Huwa najiuliza moto au joto linaundwa na nini kiasili hadi kuteketeza mambo ya kishirikina kama matunguri? Vipi umeme na nguvu nyingine zishindwe? Wajuvi mtujuze
  4. C

    Kwanini watu hawazamii au kuloea nchini India

    Mkuu wahindi wabaguzi kwa kiwango cha standard gaji, kisingizio tamaduni
  5. C

    Kwanini watu hawazamii au kuloea nchini India

    Salaam JF Naomba kuuliza Kwanini ni nadra sana kusikia watu wanaloea au kutaka Kuzamia nchini India tofauti na nchi kama South Africa au barani Ulaya? Kama issue ni ubaguzi mbona nchi kama Hispania na nyingine za Ulaya ubaguzi upo? Mbona watu wana fanya biashara China na si nchi hii ambayo...
  6. C

    Msaada namna ya kufika Spain

    Mkuu 'ujinger'ni kitu gani? Kumbe mkuu taarifa sahihi inatoka Kwa ndugu Pekee? Asante Kwa maoni yako
  7. C

    Msaada jinsi ya ku renew kitambulisho cha taifa

    Asante mkuu, lakini hiyo haiwezi kuwa ya watu wa ilala tuu!?
  8. C

    Msaada namna ya kufika Spain

    Akili yako ndo imeishia hapo kufikiria Mkuu? Iko hivi unapotafuta taarifa sahihi hubanwi kutegemea chanzo kimoja, na wakati mwingine unaweza kuulizana taarifa zile zile kwenye chanzo kimoja kwa nyakati tofauti hata namna au njia tofauti
  9. C

    Msaada jinsi ya ku renew kitambulisho cha taifa

    Asante wanahitaji vitu gani na natakiwa kumuona nani
  10. C

    Msaada jinsi ya ku renew kitambulisho cha taifa

    Salaam wana JF Naomba msaada wa kujua nini vinahitajika kurudisha/kurenew kitambulisho cha taifa Mimi ni mkazi wa Dar Wilaya ya Ubungo Nianzie wapi na natakiwa kumuona nani nikiwa na nini Kinachukua muda gani kukipata mara baada ya kukamilisha taratibu na mahitaji yote NB. Najua ngeweza...
  11. C

    Msaada namna ya kufika Spain

    Asante mkuu Kwa legal ways unaweza nipatia some tips
Back
Top Bottom